NANI KUKUPATIA MKWANJA WA MAANA LEO….

Leo ndio leo asemaye kesho muongo, mbivu na mbichi zinaenda kujulikana ambapo zile ligi 3 bora kati ya 5 Duniani zinaenda kumalizika leo. Timu nyingi za ushindi uwanjani. Suka jamvi lako na Meridianbet uibuke bingwa leo. EPL Uingereza pale kuna mechi za maokoto leo, Nottingham Forest atakipiga dhidi ya Chelsea ambapo The Blues wanahitaji kushinda leo ili kucheza UEFA msimu ujao huku nae Forest akiwa na matumaini hayo hayo. Mechi ya mkondo wa kwanza kukutana, walitoa sare. Je nani kushinda leo?. Mechi hii ina ODDS 3,25 kwa 2.17. Bashiri hapa. Mechi nyingine ya kugombani nafasi ya kucheza ligi ya mabingwa ni hii ya Manchester City ambaye atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Fulham. Vijana wa Guardiola wanahitaji sare tuuh leo kujihikikishia nafasi hiyo. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda City kwa ODDS 1.62 kwa 5.20. Jisajili hapa. Nao vijana wa Eddie Howe, Newcastle United watakuwa nyumbani kusaka ushindi wa kusaka tiketi ya kucheza ligi ya mabingwa dhidi ya Everton ambao wanshika nafasi ya 13. Mtanange wa mara ya mwisho kukutana hakuna aliyekuwa mbabe kati yao. Leo nani kuondoka na pointi 4 za msimu?. 1.35 kwa 8.60 ndio ODDS za mechi hii. Suka jamvi hapa. Maliza ligi ukiwa bingwa wa msimu ndani ya Meridianbet, Suka jamvi lako hapa lakini pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Keno, Poker, Roullette, Keno, na mingine kibao. Aston Villa naye atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya Manchester United ambao wanashika nafasi ya 16 wakiwa wamepoteza mechi 3 mfululizo kwenye ligi. Vijana wa Amorim baada ya kupoteza Kombe la Europa, leo hii wanataka wamalize ligi kwa kushinda pale Old Trafford. Je Villa watawazuia?. Tandika jamvi mechi hii yenye ODDS 4.40 kwa 1.75. Vilevile kule LALIGA leo hii kuna mechi 3 za kubashiri, Girona atamleta kwake Atletico Madrid ambao wapo nafasi ya 3. Wenyeji wao wapo nafasi ya 5 kutoka mwisho huku kushinda mechi hii wakipewa ODDS 3.20 kwa 2.25. Je wewe unampa nani ashinde leo?. Suka jamvi hapa. Mechi nyingine ni hii ya Villarreal vs Sevilla ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 26. Mechi ya kwanza kwenye ligi kukutana, Nyambizi wa Njano waliondoka na ushindi. Anayepewa nafasi ya kuondoka na ushindi leo hii ni mwenyeji akiwa na ODDS 1.53 kwa 5.60. Bashiri hapa. Bingwa wa ligi FC Barcelona atakuwa mgeni wa Athletic Bilbao ambao wapo nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi. Bilbao anahitaji kulipa kisasi leo baada ya kupigika mechi ya mkondo wa kwanza walipokutana. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 2.75 kwa 2.37. Tengeneza jamvi hapa. Kule Italia pia SERIE A kuna mitanange ya maana itakayopigwa leo Atalanta atamenyana dhidi ya Parma ambapo mgeni yupo nafasi ya 16. Mwenyeji ameshajihakikishia nafasi ya kushiriki ligi ya mabingwa msimu ujao. Mechi hii ina ODDS 1.75 kwa 4.90. Bashiri sasa. Pia kwa upande wa Juventus yeye atakuwa ugenini dhidi ya Venezia  kusaka ushindi wa kumfanya acheza ligi ya mabingwa msimu ujao. Mwenyeji ana hali mbaya kwenye msimamo wa ligi akiwa nafasi ya 19. Kila timu inahitaji ushindi leo. 5.20 kwa 1.62 ndio ODDS za mechi hii. Jisajili hapa. Utamu mwingine pia upo kwa Lazio vs US Lecce ambapo mwenyeji anahitaji ushindi leo hii aweza kucheza michuano ya Ulaya msimu ujao. Mara ya mwisho kukutana, mgeni alipasuka. Je kwa ODDS ya 1.45 kwa 7.40 nani kuondoka na pointi 3 leo?. Bashiri hapa. Vilevile Torino atamkaribisha kwake AS Roma ambao anao leo hii wanazitolea macho pointi 3 kwa hali na mali kwani ushindi wa leo ni muhimu sana. Tofauti ya pointi kati yao ni 22. Wakali wa ubashiri Meridianbet wanampendelea mgeni kushinda kwa ODDS 1.58 kwa 5.80. Jisajili sasa. The post NANI KUKUPATIA MKWANJA WA MAANA LEO…. appeared first on Soka La Bongo.

BAADA YA MAMBO YA CAF KUISHA….VITA IKO KWA AHOUA, DUBE NA MZIZE….DUA YA WOTE HII HAPA…

USHINDANI wa mastaa kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu umezidi kukolea na kusababisha mambo kuzidi kunoga. Lakini kuna kuna linakwenda kutokea kati ya wachezaji watatu mahiri kwenye mashindano hayo ambao wote wanacheza kwa watani wa jadi. Moja ya eneo ambalo sasa limekuwa gumzo na mijadala kwenye vijiwe vya kahawa hususani vile vya Simba na Yanga ni mchuano baina ya wafungaji bora, huku Clement Mzize wa Yanga akiwa mzawa peke mwenye moto wa aina yake. Kama ni karata tungeita turufu. Iko hivi. Moja ya jambo analoombea kiungo mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua ni kutolingana na mchezaji yeyote katika idadi ya mabao ya Ligi Kuu kwa msimu huu, kwani nyota huyo kwa sasa kanuni zinambana, licha ya kuongoza vita ya ufungaji. Ahoua aliyejiunga na Simba msimu huu akitokea Stella Club Adjame ya Ivory Coast, ndiye anayeongoza kwa kufunga mabao Ligi Kuu Bara akifunga 15, akifuatiwa na Prince Dube na Clement Mzize wote wa Yanga ambao kila mmoja amefunga 13. Licha ya Ahoua kuongoza vita hiyo, lakini ikiwa mwisho wa msimu ikitokea amelingana idadi ya mabao na mchezaji mwingine, kanuni za Ligi Kuu Tanzania toleo la 2024 zitambana kutokana na nyota huyo kufunga mabao sita ya penalti kati ya 15. Kanuni ya (13.1) ya Ligi Kuu kuhusu tuzo ya mfungaji bora, inasema mabao yatakayofungwa kwa njia ya kawaida yatakuwa na pointi mbili (2), huku yatakayofungwa kwa penalti yatapewa pointi moja (1), hivyo mwenye pointi nyingi atakuwa mshindi. Kama itatokea watalingana basi itatumika kanuni ya 13.2, ambayo itatoa nafasi kwa aliyecheza muda mchache zaidi kuibuka mshindi na ikishindikana pia kwa vigezo hivyo, itatumika kanuni ya 13.3 ya mchezaji aliyefunga mabao mengi ugenini. Kwa mantiki hiyo, mabao ya Ahoua yanampa pointi 24, baada ya kufunga sita ya penalti na tisa ya kawaida, huku kwa upande wa Mzize na Dube ambao wote wamefunga mabao 13 hadi sasa tena bila ya penalti wanaongoza wakiwa na pointi 26 kila mmoja. Mshambuliaji wa Simba, Leonel Ateba anafuatia kwa kufunga mabao 12, ambapo amekusanya pointi 18, kutokana na mabao sita kati ya hayo ameyafunga kwa penalti. Nyota wa Simba, Steven Mukwala aliyefunga mabao 11, amekusanya pointi 22 kwani mshambuliaji huyo raia wa Uganda mabao yote aliyofunga hakuna la penalti. Mshambuliaji wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah aliyejiunga na timu hiyo dirisha dogo msimu huu akitokea Al-Nasr Benghazi ya Libya, amefunga mabao 11, ambapo kati ya hayo saba ameyafunga kawaida, huku manne yakiwa ni ya penalti. Nyota huyo wa zamani wa Medeama ya Ghana, licha ya kujiunga na timu hiyo kwa muda mchache, lakini ameonyesha kiwango bora hadi sasa na kuzivutia klabu mbalimbali kuhitaji saini yake, ambapo kutokana na mabao yake amekusanya pointi 18. Mshambuliaji, Elvis Rupia anayecheza pia Singida Black Stars, amefunga mabao 10 na yote ni ya kawaida jambo linalomfanya kukusanya pointi 20, ingawa kati ya penalti nane ilizopata timu hiyo msimu huu, imekosa mbili ambazo zote alikosa Mkenya huyo. Sababu za maboresho ya kanuni ya pointi mbili kwa bao la kawaida na moja kwa litakalofungwa kwa penalti, ni kutokana na malalamiko yaliyotokea msimu wa 2022-2023, kwa nyota, Fiston Mayele na Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ kulingana mabao. Msimu huo wa 2022-2023, aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani Fiston Mayele alifunga mabao 17, sawa na kiungo wa zamani wa Simba na Geita Gold, Mrundi Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ hali iliyosababisha kufanyika kwa maboresho ya kanuni. Kanuni ya ufungaji bora, ilifanyiwa maboresho kutokana na malalamiko ya mashabiki wengi kuamini, Mayele alistahili tuzo hiyo kwa sababu alifunga mabao machache ya penalti, tofauti na ilivyokuwa kwa ‘Saido’ aliyefunga mengi msimu huo husika. The post BAADA YA MAMBO YA CAF KUISHA….VITA IKO KWA AHOUA, DUBE NA MZIZE….DUA YA WOTE HII HAPA… appeared first on Soka La Bongo.

Vipimo vya Hospitali Vilionyesha Nitazaa Mtoto Mwenye Ulemavu Lakini Nilitafuta Msaada Nikajifungua Mtoto Mwenye Afya Kamili

Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningeondoka hospitali nikibeba mzigo wa hofu badala ya furaha. Ilikuwa miezi sita tangu nipate ujauzito wangu wa pili. Kama mama, kila hatua ya ujauzito ilikuwa ya kipekee na ya matumaini. Nilihudhuria kliniki kama kawaida, nikinywa dawa nilizoelekezwa, na nilikuwa na hamu kubwa ya kumwona mtoto wangu kupitia skani ya pili ya ultrasound. Lakini siku hiyo ilibadilisha kila kitu. Daktari alikaa kimya kwa muda mrefu kuliko kawaida akitazama skrini. Halafu akahema na kusema kwa sauti ya huruma, “Tunashuku kuna matatizo ya kimaumbile kwenye ukuaji wa kichwa cha mtoto.” Kwa muda ule, nilihisi ulimwengu umesimama. Alieleza kuwa vipimo vinaonyesha mtoto anaweza kuwa na matatizo ya kiafya ya kudumu na huenda asiwe na uwezo wa kuona wala kusikia. Nilihisi miguu ikikosa nguvu. Nilipotoka hospitali, machozi hayakukoma. Mume wangu alikuwa karibu nami, lakini hata maneno yake hayakunituliza. Familia yangu ilinitia moyo kuwa ni mapenzi ya Mungu, lakini moyoni sikuweza kukubali. Nilijiona nimeshindwa kama mama. Usiku kucha nilitafakari, nikasali, lakini bado nilihisi huzuni kubwa. Baada ya wiki mbili za wasiwasi, rafiki yangu wa karibu alinitembelea na kuniambia kwa utulivu, “Kuna watu wanaosaidia kwa njia ya mitishamba. Najua si kila mtu huamini, lakini wanaweza kusaidia zaidi ya unavyofikiria.” Nikiwa nimekata tamaa, niliamua kufuata ushauri wake. Hivyo ndivyo nilivyopata taarifa kuhusu Kiwanga Doctors. Nilipowasiliana nao, walinionyesha huruma ya kweli. Walinielewa bila kunihukumu. Nilielezea kila kitu kilichotokea, na walinieleza kuwa walikuwa na dawa maalum za mitishamba za kuondoa balaa na kulinda mtoto tumboni. S Walinipa dawa na maelekezo ya namna ya kuzitumia kwa uangalifu. Nilianza kutumia dawa hizo kwa imani kubwa, nikiamini kuwa bado kuna tumaini. Kila mara nilipohisi mtoto akicheza tumboni nilibarikiwa na tumaini jipya. Nilihisi kuwa kuna kitu kinabadilika. Nilifanya scan nyingine baada ya wiki sita kama ilivyopendekezwa, na daktari alishangaa kuona maendeleo makubwa. “Kichwa chake sasa kiko sawa, hata mapigo ya moyo yako imara,” alisema kwa mshangao. Sikuwa na maneno. Nililia, safari hii kwa furaha. Siku ya kujifungua ilipowadia, nilijifungua salama mtoto wa kiume mwenye afya kamili. Alilia kwa nguvu alipowasili duniani, ishara ya maisha na uhai usio na dosari. Daktari aliyenipokea alikiri kuwa alikuwa na mashaka makubwa tangu mwanzo, lakini sasa hakuamini macho yake. Ninamlea mwanangu leo akiwa na miezi sita. Ana tabasamu la kupendeza, macho ang’avu na anajibu sauti kwa bashasha. Wale waliokuwa wamenitisha sasa hunitazama kwa mshangao. Wengine huniuliza kwa siri, “Ulifanyaje?” Kila mara mimi hujibu kwa upole, “Niliamini, na nikapata msaada wa mitishamba kutoka Kiwanga Doctors.” Ninaposhika kichwa chake na kumbusu kila asubuhi, ninajua nilifanya jambo sahihi. Nilipambana kwa ajili yake, na nikashinda. Nilijifunza kuwa wakati mwingine, suluhisho halipo kwenye mashine wala majibu ya kitaalamu pekee, bali kwenye imani, nia ya kutafuta msaada, na nguvu ya asili inayotolewa kwa njia sahihi. Kwa yeyote anayepitia hali ya kukataliwa au hofu ya kumpoteza mtoto, ninakuhimiza usikate tamaa. Kuna njia. Kuna tumaini. Na wakati mwingine, njia hiyo ni kupitia kwa watu wenye hekima ya asili kama Kiwanga Doctors. Walinisaidia, na ninaamini wanaweza kusaidia wengine pia. Simu: +255 763 926 750 Wasiliana nao ikiwa unahitaji msaada wa uzazi au afya ya mtoto. Ukijaribu, unaweza kuwa mshindi kama mimi.

KILA USIKU SAA SITA, MTOTO WETU ALIKUWA AKIPIGA KELELE KILE TULICHOKIKUTA CHINI YA KITANDA BADO KINATUSUMBUA AKILINI

NILIWEZA KUONDOA KIVULI CHA MAJANGA MAISHANI MWANGU, NA MAISHA YANGU YAKAANZA KUJAA FURAHA!

NANI KUKUPATIA MKWANJA WA MAANA LEO….

BAADA YA MAMBO YA CAF KUISHA….VITA IKO KWA AHOUA, DUBE NA MZIZE….DUA YA WOTE HII HAPA…

Vipimo vya Hospitali Vilionyesha Nitazaa Mtoto Mwenye Ulemavu Lakini Nilitafuta Msaada Nikajifungua Mtoto Mwenye Afya Kamili

Lastest News

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

Bolt Yazindua Rasmi Huduma Zake Katika Mji wa Kahama

  • 10 Apr 2025
  • 10
© Image Copyrights Title

Shaka Ssali Kufanyiwa Heshima za Mwisho Leo Marekani

  • 10 Apr 2025
  • 10
© Image Copyrights Title

SIKU YA KUSHINDA MAMILIONI NDIO LEO….

  • 09 Apr 2025
  • 56
© Image Copyrights Title

TIMIZA NDOTO ZAKO ZA KUWA MILIONEA NA MERIDIANBET…

  • 09 Apr 2025
  • 14
© Image Copyrights Title

NANI KUKUPATIA MKWANJA MECHI ZA UEFA LEO….?

  • 09 Apr 2025
  • 39
© Image Copyrights Title

UMEWAHI KUUCHEZA MCHEZO HUU WA KASINO| CHINESE TIGER?…

  • 09 Apr 2025
  • 34
© Image Copyrights Title

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Kiziwi Wilaya ya Kwimba, Mwanza

  • 09 Apr 2025
  • 31
Read more News

Burudani

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

Chris Brown ashitakiwa kwa kumshambulia mtu kwenye klabu ya Usiku

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 41
Read all News
© Image Copyrights Title

Chris Brown ashitakiwa kwa kumshambulia mtu kwenye klabu ya Usiku

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 41
© Image Copyrights Title

D Voice Atarajia Kuachia Ep yake Mpya

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 45
© Image Copyrights Title

Bobby Shmurda Asitisha Tour Yake, Auza Tiketi 10 Tu Kila Mji.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 36
© Image Copyrights Title

Wasanii Wanaowania Tuzo Za BET 2025.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 26
© Image Copyrights Title

Diamond Mfalme Wa Youtube Africa.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 45
© Image Copyrights Title

Rihanna Na Asap Rocky Watarajia Kupata Mtoto Wa 3.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 42
© Image Copyrights Title

Yammi Aacha Na Label Ya Nandy ‘The African Princess’.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 49
© Image Copyrights Title

Mtuhumiwa Aliyemuibia Kim Kardashian Afariki Dunia Kabla Ya Kesi Kuanza.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 33
© Image Copyrights Title

Mtuhumiwa Aliyemuibia Kim Kardashian Afariki Dunia Kabla Ya Kesi Kuanza.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 22
© Image Copyrights Title

Jux Ashinda Tuzo Ya Msanii Bora Afrika Mashariki Kwenye The Headies Nigeria.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 35

Michezo

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

NANI KUKUPATIA MKWANJA WA MAANA LEO….

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 20
Read all News
© Image Copyrights Title

NANI KUKUPATIA MKWANJA WA MAANA LEO….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 20
© Image Copyrights Title

BAADA YA MAMBO YA CAF KUISHA….VITA IKO KWA AHOUA, DUBE NA MZIZE….DUA YA WOTE HII HAPA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 22
© Image Copyrights Title

GATES OF OLYMPIA – MLANGO WA USHINDI UMESHAFUNGULIWA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 44
© Image Copyrights Title

CHUKUA CHAKO MAPEMA LEO…ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 46
© Image Copyrights Title

MERIDIANBET YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA ULINZI WA MAZINGIRA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 43
© Image Copyrights Title

ODDS KUBWA ZA KUKUPATIA MSHIKO ZIPO MERIDIANBET…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 43
© Image Copyrights Title

WAKATI DR MWINYI AKIHAIDI MIL 260….HAYA HAPA MAMBO 5 YA KUIBEBA SIMBA KESHO…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 48
© Image Copyrights Title

AFRIKA KUSINI USO KWA USO NA TAIFA STAR….NGOMA KUCHEZWA UGENINI…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 30
© Image Copyrights Title

BAADA YA AZIZ KI KUBEBWA NA WAARABU….PACOME AJIANDAE KWA HAYA NDANI YA YANGA….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 43
© Image Copyrights Title

KAPOMBE:- TUTAKACHOWAFANYA HAWATAAMINI KAMA WAKO KWA MKAPA 😎😎😎….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 36
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook