GATES OF OLYMPIA – MLANGO WA USHINDI UMESHAFUNGULIWA…

Jukwaa la mabingwa wa michezo ya kubahatisha Tanzania, linakuletea mchezo mpya wa kisasa na wa kuvutia: GATES OF OLYMPIA. Ukiwa umejengwa kwa hadithi ya Kigiriki, mchezo huu unakuweka uso kwa uso na mungu wa radi Zeus, huku akikusambazia zawadi, spins na multipliers za ajabu! KWA NINI UCHEZE GATES OF OLYMPIA KWENYE MERIDIANBET? Ushindi Mkubwa, Bila Kisingizio: Mchezo huu una odds kubwa, spins za bure za mara kwa mara, na multipliers hadi x500 – yaani dau dogo linaweza kukuletea mamilioni ya papo kwa papo! Ubunifu wa Kisasa: Graphics kali, animation za kuvutia na sauti zenye mvuto – Gates of Olympia ni zaidi ya slot, ni safari ya kipekee ya ushindi. Bonasi Zilizopangwa kwa Ajili Yako: Wateja wote wa Meridianbet wana nafasi ya kupata bonasi maalum wakicheza Gates of Olympia. Cheza Kiganjani Mwako: Kupitia App ya Meridianbet au tovuti yetu rahisi kutumia, una uhuru wa kucheza popote na muda wowote! PROMOSHENI MAALUM: Kwa kila mchezaji mpya anayejisajili na kucheza Gates of Olympia: Unapata Free Spins moja kwa moja! Unajiingiza kwenye droo ya kila wiki kushinda zawadi maalum kama bonasi za pesa taslimu. Usikubali Hadithi za Wengine – Jiandikie Ya Kwako! Huu ndio wakati wa kujaribu bahati yako kwa mchezo wa kiwango cha kimataifa. Tembelea www.meridianbet.co.tz sasa au pakua App ya Meridianbet, uanze safari yako ya ushindi na Gates of Olympia! MERIDIANBET – TULIPO, USHINDI HAUISHI! Tovuti: www.meridianbet.co.tz Huduma kwa Wateja: IPO App: Pakua kwenye Play Store au App Store  NB: Jisajili na Meridianbet na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz   The post GATES OF OLYMPIA – MLANGO WA USHINDI UMESHAFUNGULIWA… appeared first on Soka La Bongo.

CHUKUA CHAKO MAPEMA LEO…ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA…

Kama kawaida leo hii ni siku ya kutusua na wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo leo hii odds za kijanja zinapatikana hapa. Suka jamvi lako la ushindi na unufaike leo. Leo hii pale SERIE A Italia kuna mechi mbili kali sana ambazo zinaenda kuamua hatma ya ubingwa wa timu mbili moja kabisa, SSC Napoli watakuwa na kibarua cha kukupiga dhidi ya Cagliari ambao wapo nafasi ya 14. Vijana wa Conte wapo kileleni kwenye msimamo wa ligi kwa pointi 1 mbele. Mechi iliyopita Naples walitoa sare huku wageni wao wakishinda. Zinakutana timu mbili ambazo moja inahitaji ushindi kwa hali na mali iweze kubeba taji la Serie A, na ushindi pekee ndio muhimu kwao. Kwa upande wa mgeni yeye hana cha kupoteza siku ya leo. Mara ya mwisho kukutana, vijana wa Antonio Conte waliondoka na ushindi. Je leo hii katika dimba la Armando Maradona Napoli watakuwa mabingwa?. Mechi hii ina ODDS 1.20 kwa 15. Bashiri hapa. Wakati huo huo Inter Milan atakuwa ugenini dhidi ya Como 1907 ambapo naye anahitaji ushindi kwa hali na mali bila kujali matokeo ya kinara kwa ligi, kwani mpira unadunda huwezi kujua kitakachotea. Inter chini ya kocha mkuu Simone Inzaghi wanashika nafasi ya 2 wakiwa nyuma pointi 1 kwa kinara wa ligi. Como 1907 chini ya kocha mkuu Cesc Fabregas wao wapo nafasi ya 10 kwenye msimamo wa ligi huku mechi iliyopita wakitoa sare. Je nani kuodoka na ushindi leo?. Bashiri mechi hii yenye ODDS 4.80 kwa 1.68. Tusua kijanja na wakali wa ubashiri leo, Suka jamvi lako hapa lakini pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Keno, Poker, Roullette, Keno, na mingine kibao. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea leo hii kwa mchezo mmoja ambapo Real Betis Seville watakuwa nyumbani kupepetana dhidi ya Valencia CF ambao wanashika nafasi ya 12 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 6. Tofauti yao ni pointi 14 huku mechi ya mwisho kukutana, Betis alipigika. Je leo hii atalipa kisasi akiwa nyumbani?. Mechi hii imepewa ODDS 2.05 kwa 3.55. Jisajili hapa. Ligi nyingine ya kubashiri siku ya leo hii ni hii ya Austria, BUNDESLIGA ambapo WSG Tirol atakipiga dhidi ya Grazer AK 1902 huku wote hawa wakiwa na pointi sawa kwenye msimamo wa ligi. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda mwenyeji kwa ODDS 2.75 kwa 2.90. Suka jamvi hapa. Naye SK Austria Klagenfurt watakuwa wenyeji wa TSV Hartberg ambao hawapewi nafasi ya kushinda mtanange wa leo wakiwa na ODDS 3.25 kwa 2.15. Je beti yako wewe unaiweka wapi hapa kwa timu hizi mbili leo?. Tengeneza jamvi hapa. Wakati huo huo Lask Linz atakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya SCR Altach ambao mechi yao iliyopita walitoa sare huku wenyeji wao wakipigika. Hivyo pointi 3 ni muhimu kwa timu zote mbili. 2.65 kwa 2.45 ndio ODDS za mechi hii. Jisajili hapa. The post CHUKUA CHAKO MAPEMA LEO…ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA… appeared first on Soka La Bongo.

MERIDIANBET YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA ULINZI WA MAZINGIRA

Kampuni inayozingatia jamii na mazingira yazidi kujidhihirisha kama kiongozi wa kweli wa uwajibikaji wa kijamii barani Afrika na Ulaya Katika dunia inayokumbwa na changamoto nyingi za mazingira na kijamii, Meridianbet inazidi kujitokeza kama moja ya kampuni chache zinazochukua hatua halisi badala ya ahadi tu. Ikiwa sehemu ya kampuni mama ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), Meridianbet imeanza mwaka 2025 kwa kasi kubwa, kwa kutekeleza miradi zaidi ya 80 ya kijamii na kimazingira katika kipindi cha miezi mitatu pekee. Hii ni sehemu ya mwelekeo wa muda mrefu wa kampuni unaojikita kwenye uendelevu, uwajibikaji, na mshikamano wa jamii. Serbia: Usafi wa Fruška Gora Ukiwaunganisha Wananchi, Mazingira na Michezo Katika moja ya matukio muhimu zaidi ya mwaka huu, Meridianbet ilikuwa mdhamini mkuu wa Mashindano ya 32 ya Fruška Gora MTB Marathon nchini Serbia, sambamba na kampeni kubwa ya usafi wa njia za misitu katika hifadhi hiyo ya taifa. Tukio hilo liliwaunganisha wafanyakazi wa kampuni, wanariadha, na wananchi — likithibitisha kuwa michezo inaweza kuwa chombo cha kulinda mazingira. “Tunajivunia kuona jamii ikishiriki kwa dhati. Ulinzi wa mazingira sio jukumu la mtu mmoja — ni jukumu letu sote,” alisema Jovan Ignjatović, mwakilishi wa Meridian Foundation. Tazama hapa Tanzania Yaingizwa Rasmi Katika Harakati za Kijani Baada ya mafanikio ya Serbia, miradi kama hiyo ilianza pia katika mataifa mengine. Nchini Tanzania, timu ya Meridianbet ilifanya shughuli kadhaa za usafi wa mazingira, upandaji miti, na utoaji elimu mashuleni kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Miradi hii imekuwa kichocheo kikubwa cha mshikamano wa kijamii na utunzaji wa rasilimali za asili, ikithibitisha kuwa mafanikio ya kijamii hayawezi kutenganishwa na mafanikio ya biashara. Epic Trail: Afya, Jamii na Mazingira Kwa Mpigo Tukio la Epic Trail, lililofanyika katika masoko kadhaa ambapo Meridianbet inafanya kazi, liliwaleta pamoja wanariadha wa kitaa, waendesha baiskeli na familia mbalimbali — likihamasisha maisha yenye afya, mazoezi ya pamoja, na uwajibikaji kwa jamii. Angalia picha za tukio hili hapa Mpango wa ESG wa Baadaye: Kutoka Nguvu ya Jamii Hadi Teknolojia Safi Katika kipindi cha mwaka huu na kuendelea, Meridianbet inajiandaa kuimarisha mikakati yake ya ESG kwa: Kupunguza hewa ukaa (carbon emissions) Kulinda bioanuwai katika maeneo ya shughuli zake Kupunguza uchafuzi kwa njia za kidigitali na kimuundo Kuwekeza katika teknolojia safi na nishati mbadala Meridianbet: Mfano wa Biashara Inayojali Sayari Kupitia miradi hii, Meridianbet si tu inajenga mahusiano bora na wateja — bali pia inajiweka kama kiongozi wa kipekee wa biashara inayojali watu na mazingira. Kwa kushirikiana na Golden Matrix Group, kampuni inaonyesha kuwa uwajibikaji kwa jamii na mazingira ni sehemu muhimu ya mafanikio ya kampuni ya kisasa. NB: Jisajili na Meridianbet na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz   The post MERIDIANBET YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA ULINZI WA MAZINGIRA appeared first on Soka La Bongo.

ODDS KUBWA ZA KUKUPATIA MSHIKO ZIPO MERIDIANBET…

Mechi za ushindi zinakusubiri wewe pekee, Laliga, Serie A, na zingine zinaendelea ambapo nafasi ya kuibuka mshindi unayo leo. Tengeneza jamv lako na ufurahie maokoto leo. Meridianbet ilianza kuitazama ligi kuu ya Italia kule SERIE A ambapo mechi kadhaa zitapigwa Bologna atakiwasha dhidi ya Genoa ambao wanashika nafasi ya 13, huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 8. Nafasi ya kuondoka na pointi 3 pale Meridianbet amepewa mwenyeji kwa ODDS 1.65 kwa 5.00. Suka jamvi hapa. Huku AC Milan wao watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya AC Monza mabao ndio vibonde wa ligi hadi sasa. Mechi ya kwanza kukutana, Milan aliondoka na ushindi mwembamba ugenini. Leo hii yupo nyumbani kusaka uhsindi muhimu kabisa. ODDS za mechi hii ni 1.30 kwa 9.00, vileile machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Bashiri sasa. Nafasi ya kuwa mshindi na Meridianbet unayo leo, Suka jamvi lako hapa lakini pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Keno, Poker, Roullette, Keno, na mingine kibao. Kule Hispania LALIGA inatarajiwa kuendelea leo hii ambapo kwenye viwanja mbalimbali mechi zitapigwa, Real Madrid atakipiga dhidi ya Real Sociedad ambao wapo nafasi ya 11. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda Carlo Ancelotti na vijana wake kwa ODDS 1.43 kwa 6.60. Je beti yako wewe unaiweka wapi?. Bashiri hapa. Espanyol Barcelona baada ya kupoteza mechi iliyopita leo hii atamenyana dhidi ya Las Palmas ambao kushinda mechi hii wamepewa ODDS 8.60 kwa 1.37. Mwenyeji anahitaji ushindi leo ili asishuke daraja. Lakini je atafanikiwa?. Jisajili na ubashiri hapa. Vilevile mechi nyingine ni hii ya Rayo Vallecano dhidi ya RCD Mallorca huku tofauti yao ikiwa ni pointi 4 pekee. Mara ya mwisho kukutana, mgeni aliondoka na ushindi hivyo leo hii mwenyeji anataka kulipa kisasi nyumbani. Mechi hii imepewa ODDS 1.55 kwa 6.60. Tengeneza jamvi hapa. Kwa upande wa Getafe yeye ataumana vikali dhidi ya RC Celta Vigo huku nafasi ya kuondoka na ushindi akipewa mgeni kwa ODDS 1.95 kwa 4.10. Takwimu zinaonesha kuwa mchezo wa mkondo wa kwanza walipokutana, mwenyeji alipigika. Nani unampa pesa yako akutajirishe leo?. Suka jamvi hapa. CA Osasuna baada ya kushinda mechi iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya Deportivo Alaves ambaye naye pia alishinda mechi yake iliyopita. Wote wanahitaji kumaliza ligi kwa ushindi leo. Je nani kuondoka kifua mbele?. Bashiri mechi hii ODDS zake ni 3.25 kwa 2.40. Fainali ya DFB POKAL kule Ujerumani kupigwa leo Arminia Bielefeld dhidi ya VFB Stuttgart. Ikumbukwe kuwa Armia anashiriki ligi daraja la 3 kule Ujerumani huku Stuttgart yeye akishiriki ligi kuu. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 6.20 kwa 1.50. Wewe unaweka wapi beti yako?. Tandika jamvi hapa. The post ODDS KUBWA ZA KUKUPATIA MSHIKO ZIPO MERIDIANBET… appeared first on Soka La Bongo.

WAKATI DR MWINYI AKIHAIDI MIL 260….HAYA HAPA MAMBO 5 YA KUIBEBA SIMBA KESHO…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametembelea kambi ya timu na kupata nafasi ya kuongea na wachezaji na benchi la ufundi kuelekea mchezo wa kesho wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Dkt. Mwinyi amewatakia mchezo mwema na kuwaeleza umuhimu wa mchezo wa kesho kwa nchi na hivyo serikali inatoa ushirikiano wa kila namna kuhakikisha tunaibuka na ushindi mkubwa ambao utatuwezesha kushinda ubingwa wa kombe hilo. Lakini pia Dkt. Mwinyi ameahidi kutoa zawadi ya Dola 100,000 (267,000,000) iwapo tutashinda ubingwa wa Kombe la Shirikisho. YAKUFANYA HAYA HAPA HAKUNA kitu kingine ila ni ushindi tu. Ndio, hakuna kitu kinachosubiriwa kwa hamu na mashabiki, wapenzi na wanachama wa klabu ya Simba ila ni kuona chama lao la Msimbazi linabakisha kombe la Shirikisho Afrika kesho Jumapili kwenye Uwanja wa New Amaan, uliopo Unguja visiwani Zanzibar. Kikosi cha Simba kitashuka uwanjani kesho Jumapili kuikabili RS Berkane ya Morocco katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa kuanzia saa 10:00 jioni. Simba inawakabili The Orange Boys ikiwa na deni la kupoteza ugenini kwa mabao 2-0 katika mechi ya kwanza iliyopigwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane, Morocco. Hii ina maana kwamba iwe jua, iwe mvua, Simba kesho inahitaji ushindi usiopungua mabao 2-0 ili kulipa kisasi dhidi ya RS Berkane na kujiweka katika nafasi nzuri ya kubeba ubingwa wa CAF. Mechi hiyo itakayochezeshwa na mwamuzi Dahane Beida kutoka Mauritania inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka hususani wa Wekundu wa Msimbazi wanaotamani kuona timu hiyo ikipindua meza kwa timu ya Morocco na kubeba ubingwa taji hilo la Afrika kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu na Tanzania. Simba inacheza fainali hiyo ya pili ya kombe uwanjani ikiwa nyumbani, zikiwa zimeshapita siku 11,502 (sawa na miaka 31, miezi mitano na siku 28) tangu ilipopoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya Stella Abidjan ya Ivory Coast mbele ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Kuna kila sababu inayoilazimisha Simba kupambana na kubeba taji la michuano hiyo mbele ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ambaye ni mtoto wa Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyekuwa mgeni rasmi wa fainali ya Kombe la CAF ya 1993. Licha ya kucheza kwenye uwanja wa nyumbani huku kombe likiwa uwanjani kwa mara nyingine, Simba ina kila sababu ya kubeba ubingwa mbele ya RS Berkane kama ilivyoainishwa hapa chini. HESHIMA Simba ni moja ya klabu kubwa Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki, ikitajwa kufanya vizuri katika michuano ya kimataifa. Ndio klabu ya kwanza ya Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa Afrika) 1974 na ya kwanza pia kucheza fainali ya CAF 1993 huku hii ikiwa ni mara ya pili katika michuano iliyozaliwa baada ya kuunganishwa kwa Kombe la CAF na Kombe la Washindi 2004. Wekundu hao wanalisaka taji la kwanza ili kuifikia rekodi ya ukanda huu wa Afrika Mashariki iliwekwa na Gor Mahia ya Kenya ilipotwaa Kombe la Washindi mwaka 1987 kwa faida ya bao la ugenini dhidi ya Esperance ya Tunisia baada ya kupata sare ya 2-2 ugenini na kisha kutoka ya 1-1 jijini Nairobi na kutwaa kombe hilo. Simba ina kila sababu ya kupata ushindi kesho na kisha kubebea taji hili ili kuifikia rekodi hiyo ya Gor Mahia ambayo pia mwaka 1979 ilicheza fainali nyingine dhidi ya Canon Yaounde ya Cameroon na kukumbana na aibu ya kufungwa mabao 8-0, ikilazwa 2-0 nyumbani kisha kupigwa 6-0 ugenini, huku timu nyingine ya Cecafa kufika fainali za CAF ni SC Villa ya Uganda iliyocheza Kombe la CAF 1992, ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu ilipocheza fainali ya Klabu Bingwa Afrika 1991 ikiwa klabu pekee ya ukanda huo. Kubeba ubingwa kwa Simba kutadhihirisha ukubwa wa klabu hiyo kwa sasa katika ukanda wa Cecafa, kwani ndio inayoongoza kwa ubora ikishika nafasi ya nne kwa ubora wa Klabu za Afrika, huku pia ikitaka kuweka heshima mbele ya watani wao wa jadi, Yanga waliofika fainali kama hiyo ya Shirikisho msimu wa 2022-23 na kulikosa taji kwa kanuni ya faida ya bao la ugenini. Yanga ilikosa taji licha ya matokeo ya jumla kuwa sare ya 2-2, ikipoteza nyumbani 2-1 na kushinda ugenini 1-0 dhidi ya USM Alger ya Algeria, na imekuwa ikiwatambia watani wao kwamba ilibeba medali za CAF bila ya kupoteza mchezo, hivyo Simba itapenda kubeba kabisa kombe kumaliza udhia. Hata hivyo, ni lazima Simba ipambane kwelikweli mbele ya Berkane iliyowahi kubeba taji la michuano hiyo misimu miwili tofauti, huku ikitoka kubeba ubingwa wa Ligi Kuu ya Morocco kwa mara ya kwanza msimu huu, na ikiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya mnyama. UKUBWA WA KLABU Katika orodha ya klabu bora za Afrika, Simba ipo juu ya Berkane ikishika nafasi ya nne wakati timu hiyo ya Morocco iko katika nafasi ya tisa, huku vinara wakiwa ni Al Ahly ya Misri, Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Esperance ya Tunisia zilizopo katika Tatu Bora. Baada ya Simba kuwa ya tano, klabu zinazofuata kukamilisha 10 Bora ni Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca ya Morocco, Pyramids ya Misri, USM Alger, RS Berkane na CR Belouizdad ya Algeria. Hii ina maana kwamba Berkane kubeba ubingwa huo mbele yao ni kudhalilisha nafasi ya nne iliyonayo dhidi ya wapinzani wao hao walio nafasi ya tisa. Hivyo ni wazi wachezaji watakuwa na kazi ya kuipigania Simba kurudisha mabao mawili iliyofungwa ugenini na kupindua meza kama ilivyofanya dhidi ya Al Masry ya Misri katika mechi ya robo fainali, kwani ilipoteza ugenini 2-0 na kushinda nyumbani kama hivyo na mshindi kupatikana kwa penalti. Hata hivyo, ubora wa nafasi ilizonazo timu hizo haiwezi kuwa kigezo cha mmoja wao kupata matokeo, isipokuwa ni namna timu itakavyopambana ndani ya dakika 90 za pambano hilo, lakini Simba ikiwa na kazi kubwa ya kuonyesha ukubwa wa klabu hiyo mbele ya Berkane. Lakini kombe kuwepo uwanjani tena mbele ya mashabiki wa klabu hiyo wanaotarajiwa kuujaza Uwanja wa New Amaan, ni sababu nyingine inayoifanya Simba ipanie kushinda mechi hiyo, ili kutorudia tukio la mwaka 1993 ilipoliacha Kombe la CAF likitwaliwa na Stella Abidjan ya Boli Zozo aliyefunga mabao yote mawili Wekundu wakilala 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa. MABILIONI YA NOTI Ukiachana na heshima ya kubeba kombe hilo, Simba ina kila sababu ya kukomaa kesho ili kukomba mabilioni ya fedha zinazotolewa kwa bingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika. Kutinga fainali kwa Simba kumeifanya ijihakikishe kuzoa Dola 1 milioni (zaidi ya Sh2.7 bilioni), lakini ikibeba ubingwa wa michuano hiyo itazoa Dola 2 milioni ambazo ni sawa na Sh5.4 bilioni, fedha ambazo ni karibu bajeti nzima ya usajili ya klabu hiyo kwa msimu huu iliyotangazwa katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika Oktoba mwaka jana. Simba inahitaji kushinda mechi hiyo ili kuizima Berkane na kubeba ubingwa, lakini kiwango hicho cha fedha ni mzuka mwingine unaowalazimisha kina Ellie Mpanzu, Kibu Denis na nyota wa timu hiyo kutokwa jasho kwani watajikikishia wa kuzoa Sh1 bilioni walizoahidiwa na mabosi wa klabu. Mbali na fedha hizo kutoka kwa wadhamini wa michuano hiyo inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Simba ina kila sababu ya kushinda ili kuzoa fedha za ‘Goli la Mama’ ambapo kila bao ni Sh30 milioni, mbali na ahadi za wadau wa klabu hiyo akiwamo Azim Dewji ambaye amekuwa akitangaza kununua kila bao na asisti kwa mamilioni. HADHI YA KLABU Kufanya vizuri kwa Simba katika mechi ya kesho, kutaiweka klabu hiyo katika hadhi ya hali ya juu ya kupata dili za maana kutoka kwa wadau mbalimbali. Duniani kote, klabu zenye mafanikio ndio zimekuwa kivutio kwa wafadhili na wahisani wengine, hivyo taji la CAF litaifanya Simba kujiweka katika nafasi nzuri ya kupiga hela kutoka katika kampuni na taasisi za ndani na nje ya nchi na kuifanya iwe na hadhi ya kipekee nchini. Taji hilo la Afrika pia linaweza kuwa kivutio kwa wachezaji wakubwa kutamani kuja kuitumikia Simba kama ilivyoitokea kwa Yanga misimu ya hivi karibuni baada ya kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mbali na hadhi ya klabu, pia soko la wachezaji wa timu hiyo linaweza kuwa jepesi kama Simba itabeba ubingwa, kama ilivyoshuhudiwa kwa nyota wa timu hiyo walipokiwasha robo fainali misimu kadhaa nyumba kwa kuwauza Clatous Chama kwa Berkane na Luis Miquissone (Al Ahly). Yanga ilipocheza fainali ilimrahisishia Fiston Mayele kuuzwa Pyramids na leo atakuwa uwanjani kuiongoza timu hiyo ya Misri katika mechi ya kwanza ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mechi inayopigwa kuanzia saa 10:00 jioni huko Sauzi. Hivyo, hata wachezaji wa Simba watakuwa wakicheza wakijua wanafuatiliwa na maskauti wa barani Afrika na nje ya bara hilo na kama watakiwasha watajiweka sokoni kujiuza barani Ulaya na mataifa mengine yenye fedha zao. Kwanini wapishane na fursa hiyo? SAFARI ILIVYOKUWA Simba iliyoasisiwa mwaka 1936 ilianza michuano ya msimu huu katika raundi ya pili ikivaana na Al Ahli Tripoli ya Libya iliyoifunga kwa jumla ya mabao 3-1, ikitoka suluhu ugenini mjini Tripoli kisha kushinda 3-1 nyumbani na kutinga makundi ambapo iliwekwa katika Kundi A. Kundini humo ilianza kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bravos kisha ikaenda kupoteza ugenini dhidi ya CS Constantine ya Algeria kwa mabao 2-1 kisha kuwafunga mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo, CS Sfaxien ya Tunisia kwa mabao 2-1 nyumbani na kwenda kuilaza ugenini 1-0. Baadaye ilienda kutoka sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Bravos na kumalizia hatua ya makundi kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Constantine na kutinga robo fainali ambapo iliing’oa Al Masry kwa penalti 4-1 baada ya matokeo ya jumla ya sare ya 2-2 kila timu ikishinda nyumbani kwa mabao 2-0. Katika nusu fainali, Simba ilipangwa kuvaana na Stellenbosch ya Afrika Kusini na kuifunga kwa bao 1-0 lililopatikana katika mechi ya kwanza visiwani Zanzibar likiwekwa kimiani na Jean Charles Ahoua kisha kwenda kutoka suluhu ugenini na kutinga fainali dhidi ya Berkane. Kwa upande wa Berkane ilianza raundi ya pili dhidi ya Dajde ya Benin iliyoishindilia jumla ya mabao 7-0, ikishinda nyumbani 5-0 na 2-0 ikiwa ugenini na kutinga makundi ikipangwa Kundi B ambapo ilizinyuka Stellenbosch nyumbani 5-0 na ugenini 3-1, pia ilitoka suluhu la CD Luanda na kushinda 2-0 nyumbani huku ikiipasua nje ndani Stede Malien ya Mali kwa bao 1-0 nyumbani na ugenini. Katika robo fainali iliichapa Asec Mimosas ya Ivory Coast kwa bao 1-0 nyumbani na ugenini na kutinga nusu fainali ambapo ilivaana na Cs Constantine ya Algeria na kuifunga jumla ya mabao 4-1, ikishinda nyumbani 4-0 na kulala ugenini 1-0. MSIKIE FADLU Kocha wa Simba, Fadlu Davids amenukuliwa mapema kwamba mechi ya kesho haitakuwa rahisi kwa kila mmoja, lakini kwa upande wa Msimbazi wamepania kuingia kivingine ili kuwapa furaha mashabiki wa klabu hiyo kwa kubeba ubingwa huo wa Afrika licha ya kupoteza ugenini. “Haitakuwa mechi nyepesi, kwani tulishagundua makosa tuliyoyafanya ugenini na kutuponza kupoteza 2-0, Jumapili tutaingia kivingine tukiwa na kazi ya kurudisha mabao hayo ya Berkane kisha kusaka mengine ya kutupa ushindi nyumbani. Mechi haijaisha kwa vile tuna dakika nyingine 90,” alisema Fadlu, huku nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ akisisitiza kuwa watapambana kwa kila hali. “Kila mchezaji na Mwanasimba anataka kuweka heshima Afrika, tunapenda kuandika majina yetu kwa wino wa dhahabu na kuendelea kukumbukwa klabuni kwa kuiwezesha Simba kushinda ubingwa wa CAF,” alisema Tshabalala aliyefunga bao la kufutia machozi katika mechi dhidi ya CS Constantine iliyochezwa ugenini kwa Simba kulala 2-1. Sh 5.4 Bil- Kiwango cha fedha ambacho anapewa bingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika 00 Hakuna klabu yoyote ya Tanzania iliyowahi kubeba ubingwa wa michuano ya Afrika. Sh 2.7 Bil- Fedha ambazo hadi sasa Simba imejihakikishia kupewa kwa kutinga fainali ya CAF 3 Idadi ya mabao ambayo Kibu Denis na Jean Ahoua kila mmoja amefunga msimu huu katika CAF CREDIT:- MWANASPOTI The post WAKATI DR MWINYI AKIHAIDI MIL 260….HAYA HAPA MAMBO 5 YA KUIBEBA SIMBA KESHO… appeared first on Soka La Bongo.

GATES OF OLYMPIA – MLANGO WA USHINDI UMESHAFUNGULIWA…

CHUKUA CHAKO MAPEMA LEO…ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA…

MERIDIANBET YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA ULINZI WA MAZINGIRA

ODDS KUBWA ZA KUKUPATIA MSHIKO ZIPO MERIDIANBET…

WAKATI DR MWINYI AKIHAIDI MIL 260….HAYA HAPA MAMBO 5 YA KUIBEBA SIMBA KESHO…

Lastest News

Don't miss daily news

Read more News

Burudani

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

Chris Brown ashitakiwa kwa kumshambulia mtu kwenye klabu ya Usiku

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 38
Read all News
© Image Copyrights Title

Chris Brown ashitakiwa kwa kumshambulia mtu kwenye klabu ya Usiku

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 38
© Image Copyrights Title

D Voice Atarajia Kuachia Ep yake Mpya

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 41
© Image Copyrights Title

Bobby Shmurda Asitisha Tour Yake, Auza Tiketi 10 Tu Kila Mji.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 35
© Image Copyrights Title

Wasanii Wanaowania Tuzo Za BET 2025.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 24
© Image Copyrights Title

Diamond Mfalme Wa Youtube Africa.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 42
© Image Copyrights Title

Rihanna Na Asap Rocky Watarajia Kupata Mtoto Wa 3.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 41
© Image Copyrights Title

Yammi Aacha Na Label Ya Nandy ‘The African Princess’.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 47
© Image Copyrights Title

Mtuhumiwa Aliyemuibia Kim Kardashian Afariki Dunia Kabla Ya Kesi Kuanza.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 29
© Image Copyrights Title

Mtuhumiwa Aliyemuibia Kim Kardashian Afariki Dunia Kabla Ya Kesi Kuanza.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 21
© Image Copyrights Title

Jux Ashinda Tuzo Ya Msanii Bora Afrika Mashariki Kwenye The Headies Nigeria.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 33

Michezo

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

GATES OF OLYMPIA – MLANGO WA USHINDI UMESHAFUNGULIWA…

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 28
Read all News
© Image Copyrights Title

GATES OF OLYMPIA – MLANGO WA USHINDI UMESHAFUNGULIWA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 28
© Image Copyrights Title

CHUKUA CHAKO MAPEMA LEO…ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 31
© Image Copyrights Title

MERIDIANBET YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA ULINZI WA MAZINGIRA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 30
© Image Copyrights Title

ODDS KUBWA ZA KUKUPATIA MSHIKO ZIPO MERIDIANBET…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 30
© Image Copyrights Title

WAKATI DR MWINYI AKIHAIDI MIL 260….HAYA HAPA MAMBO 5 YA KUIBEBA SIMBA KESHO…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 30
© Image Copyrights Title

AFRIKA KUSINI USO KWA USO NA TAIFA STAR….NGOMA KUCHEZWA UGENINI…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 16
© Image Copyrights Title

BAADA YA AZIZ KI KUBEBWA NA WAARABU….PACOME AJIANDAE KWA HAYA NDANI YA YANGA….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 30
© Image Copyrights Title

KAPOMBE:- TUTAKACHOWAFANYA HAWATAAMINI KAMA WAKO KWA MKAPA 😎😎😎….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 25
© Image Copyrights Title

20 IMPERIAL CROWN HII HAPA CASINO YA UHAKIKA YA KUTOBOA KIMAISHA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 3
© Image Copyrights Title

FUNGUA MILANGO YA UTUKUFU NA GATES OF OLIMPIA – SASA KATIKA MERIDIANBET! 👑

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 1
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook