Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Baba Levo Azindua Rasmi Kampeni Kigoma Mjini Kwa Kishindo!

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, Septemba 9, 2025 amezindua rasmi kampeni zake katika mji wa Kigoma Mjini. “Nilisimama na nyie kuwatetea kwa kila hali lakini pia kuhakikisha hakuna anayewanyanyasa katika mkoa huu, acheni nikafanye nchawi, nyie mpate maendeleo Kigoma” amesema Baba Levo. Katika uzinduzi huo, alisisitiza umuhimu wa kuunganisha nguvu za wananchi na kumruhusu kuendeleza juhudi za maendeleo na kuhakikisha usalama wa wananchi. Amesema kwamba safari ya kisiasa ni kuamini kufanya kazi kwa pamoja ili kuleta maendeleo. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kuhudhuria hafla hii, huku akitangazwa rasmi kama mgombea ubunge wa CCM kwa Jimbo la Kigoma Mjini. Matukio ya “nyomi” yaliibuka wakati wa kipindi cha kampeni, yakionyesha hamasa kubwa ya watu na kuonyesha nguvu ya mkutano. Aidha, Baba Levo ameonyesha nia yake ya kiongozi anayeelewa changamoto na matarajio ya wananchi wa Kigoma Mjini, akisisitiza sera yake ya kuimarisha miundombinu muhimu kama barabara ili kuvutia uwekezaji na kuwezesha ukuaji wa kiuchumi.  

Nimegandisha mayai yangu kwa sababu sijapata mpenzi

 Chanzo cha picha,HANDOUTMaelezo ya picha,Ellie Lambert amegandisha mayai yake kwa matumaini hapo baadaye atakutana na mtu au "kuwa katika hali ya kifedha ambapo ataweza kulea mtoto peke yake"Maelezo kuhusu taarifaAuthor,Amy Walker, Philippa Roxby & Rozina SiniNafasi,BBCSaa 6 zilizopitaIdadi ya watoto waliozaliwa Uingereza na Wales, kwa sasa iko chini zaidi tangu miaka ya 1970, takwimu rasmi zinaonyesha.Kiwango cha uzazi - hutazama ni watoto wangapi wanaozaliwa na kila mwanamke wakati wa miaka yake ya kuzaa – kwa sasa kiko chini zaidi katika rekodi.Uingereza sio nchi pekee yenye tatizo hilo - nchi nyingi zinakabiliwa na kupungua kwa uzazi na zingine zinafanya juhudi kubwa kuongeza uzazi.Nini kimesababisha kuanguka kwa uzazi? Kuna gharama kubwa ya kulea watoto, kufanya kazi na changamoto ya kupata mpenzi sahihi.Lakini pia kuna ushahidi kwamba vijana wengi hawana mpango wa kuwa na watoto kabisa – nje ya sababu hizo.BBC imezungumza na wanawake wawili na wanaume wawili wenye umri wa miaka thelathini - umri wa wastani ambapo kwa watu wa Uingereza na Wales wanakuwa wazazi - kupata mawazo yao juu ya suala hilo.Kari, 34: Bora kuasili mtotoChanzo cha picha,HANDOUTMaelezo ya picha,Kari na mpenzi wake Kaitlyn wameamua kutozaa kwa sababu ya gharamaKari Aaron Clark, mtafiti katika Chuo cha Uhandisi cha Royal, anapata pauni 53,000 kwa mwaka lakini anahisi hawezi kumudu kulea mtoto huko London.Miaka minne iliyopita, mshahara wake ulikuwa pauni 22,000 wakati akimaliza PhD yake.Mpenzi wake Kaitlyn, ambaye kwa sasa ni mwanafunzi wa PhD, ana matatizo sawa ya kifedha.Ina maana licha ya mshahara wa juu kwa wastani wa Kari, amepata wakati mgumu kuweka akiba kwa ajili ya nyumba - jambo ambalo anaamini ni muhimu kabla ya kuwa mzazi kwa sababu ya hali ya "kutokuwepo kwa uhakika" katika kukodi.Pia anataja gharama za malezi ya watoto. Kulingana na ripoti ya hivi karibuni ya shirika la hisani la watoto Coram, wastani wa gharama ya kila wiki ya kupata mlezi wa muda wote kwa watoto chini ya miaka mitatu nchini Uingereza ni pauni 300, ikilinganishwa na karibu pauni 430 katikati mwa London.Kari anasema, Kaitlyn ana maoni kama yake na wote wana wasiwasi kuhusu athari za mabadiliko ya tabia nchi."Napendelea sana wazo la kuasili mtoto. Kwa njia hiyo ninamsaidia mtu ambaye tayari anahangaika," anasema."Ninaweza kuasili mtoto baada ya kupitia hatua ya malezi ya utotoni."Licha ya kukata tamaa kwa sasa juu ya uwezekano wa kuwa mzazi kibaolojia, Kari anasema "haondoshi uwezekano wa kuzaa moja kwa moja."Chris na Jemma 33: Kufunga kizaziChanzo cha picha,HANDOUTMaelezo ya picha,Chris Taylor ameamua kufunga uzaziDerevam Chris Taylor na mkufunzi wa mbwa Jemma Wrathmell kwa pamoja wanapata mapato ya pauni 60,000 na wamekuwa pamoja kwa miaka 11.Wanandoa hao, wanaoishi Wakefield huko West Yorkshire, wanasema: "Tulikuwa na mazungumzo ya kina kujadili mambo kama shule, gharama na malezi," anasema Gemma.Lakini hitimisho lilikuwa; gharama ni kubwa sana."Baada ya malipo ya bili zetu zote na mambo muhimu hakuna nafasi ya bajeti ya kumudu mtoto," anasema Chris.Kwa sababu hiyo, wamechukua uamuzi - Chris anatarajia kufunga uzazi, baada ya miaka mingi ya Gemma kuzuia mimba.“Baadhi ya watu wamesema utabadili mawazo, lakini wajue ni uamuzi wetu,” anasema Jemma.Ellie, 39: Nimegandisha mayaiEllie Lambert, anayeishi Sheffield, anataka kupata watoto lakini anasema hajapata mwenza anayefaa.Miaka miwili iliyopita, alitumia pauni 18,000 kwa mizunguko miwili ya kugandisha yai. "Nachanganyikwa, ni gharama kubwa kwa kitu ambacho kinaweza kisisababisha chochote," anasema.Anatarajia kuzitumia akikutana na mtu sahihi, au akifikia hali ya kifedha ambapo anaweza kuishi mwenyewe kwa usaidizi wa mtoaji mbegu.Ellie anasema ana wasiwasi kuhusu gharama ya kifedha kwa mzazi mmoja.Ripoti kutoka Child Poverty Action Group ya mwaka jana iligundua wastani wa gharama ya kulea mtoto hadi umri wa miaka 18 ni pauni 166,000 kwa wanandoa na pauni 220,000 kwa mzazi mmoja.Ingawa Ellie alidhani angekutana na mtu kufikia mwishoni wa umri wa miaka 20, "licha ya kuwa kwenye programu zote za kutafuta mpenzi, bado hajafanikiwa."Akiwa tayari ametumia akiba yake kugandisha mayai, anasema itamugharimu pauni 10,000 zaidi kutumia mbegu ili kupandikiza.Dami, 34: Hadi niwe tayariChanzo cha picha,HANDOUTMaelezo ya picha,Bi Olonisakin anasema hana "haraka" ya kupata watotoKwa Dami Olonisakin, mwendesha kipindi cha ngono na uhusiano anayeishi London, maboresho ya matibabu ya uzazi - kama vile kugandisha yai - "yanawapa wanawake "nafasi zaidi kuliko hapo awali."Kuwa mama, anasema, si jambo la "kulichukulia kirahisi.""Gharama za malezi ya watoto zinapanda, sera za uzazi zina kikomo, kimsingi wanawake wanapaswa kufikiria sana," anasema.Anasema hana haraka. "Sijisikii niko katika haraka ya kutulia na kupata watoto kwa sababu tu watu wanatarajia hilo," anasema.Badala yake anaangazia kazi yake baada ya kukulia katika kaya ambayo "haikuwa na chochote"."[Wazazi wangu] walijitahidi sana, lakini siku zote nimekuwa nikisema sitakuwa na mtoto hadi niwe tayari."Hali ya baadayeHaya yote yanaibua swali la kipi kitatokea siku zijazo - ikiwa watoto wachache ndio watazaliwa.Kupungua kwa viwango vya uzazi haliwahusu tu watu kuchelewa kuzaa, lakini pia mwenendo unaokua wa watu kutotaka kuzaa kabisa, anasema Brienna Perelli-Harris, profesa wa demografia katika Chuo Kikuu cha Southampton.Takwimu kutoka Utafiti wa hivi karibuni wa Uzazi na Jinsia nchini Uingereza, zinaonyesha watu wazima wasio na watoto hawana uhakika wa kupata watoto, huku robo ya wale wenye miaka 18 hadi 25 wakisema hawana uhakika au hawatakuwa na mtoto."Gen Z wana uwezekano mkubwa wa kutaka kuishi bila mtoto," anasema. "Hapo awali, lilikuwa jambo la ajabu - sasa linakubalika zaidi."Na hilo linatokana na mambo ya kiuchumi kama mapato, gharama za malezi ya watoto na ajira.""Baada ya muda mrefu, idadi ya watu itaanza kupungua," anasema Prof Perelli-Harris.Hivi ndivyo hali ilivyo nchini Uingereza na nchi zingine kama Uhispania na Italia, ambapo kiwango cha uzazi ni cha chini."Uhamiaji unaweza kuzuia kupungua kwa idadi ya watu au hata kubadili hali mambo," anasema Prof Perelli-Harris.

USUSI WATAJWA KAMA FURSA YA AJIRA KWA VIJANA

Na Meleka Kulwa- Dodoma KATIKA juhudi za kupanua wigo wa ajira kwa vijana nchini, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kazi ya ususi inapaswa kutambuliwa kama ajira rasmi na yenye mchango mkubwa katika kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Akizungumza jijini Dodoma katika uzinduzi wa Siku ya Wasusi, Waziri Mavunde alisema ususi ni kazi halali inayoweza kuwatoa vijana, wa kike na wa kiume, kutoka kwenye utegemezi na kuwasaidia kujitegemea kiuchumi. “Kwa mujibu wa sera ya ajira nchini, kazi yoyote halali inayomuingizia mtu kipato ni ajira. Ususi umeajiri maelfu ya vijana nchini na unapaswa kuungwa mkono, kuboreshwa na kupewa heshima inayostahili,” alisema. Waziri huyo aliongeza kuwa serikali kupitia Vyuo vya Ufundi Stadi (VETA) imeanza kutoa mafunzo mafupi ya ususi ili kusaidia vijana waliokuwa wakijifunza kienyeji waweze kupata maarifa ya kitaalamu na kujiinua zaidi kiuchumi. Amesema ipo haja ya kuingiza sanaa ya ususi katika mitaala rasmi ya elimu kuanzia ngazi za chini, ili wanafunzi waweze kuhitimu wakiwa na ujuzi wa kujitegemea, na kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini. Aidha, alitoa wito kwa jamii kuacha kuwahukumu vijana wa kiume wanaojihusisha na kazi hiyo, akieleza kuwa hakuna kazi ya aibu ilimradi ni halali na inampatia mhusika kipato. “Nimekutana na vijana wengi wa kiume wanaofanya kazi ya ususi na wanafanya vizuri. Tatizo ni mtazamo hasi wa jamii. Tuwape nafasi na tuwaunge mkono,” alisema. Katika uzinduzi huo uliofanyika kwa mara ya kwanza jijini Dodoma, wasusi kutoka mikoa mbalimbali walikusanyika kwa lengo la kushirikishana uzoefu, kujenga mtandao wa pamoja, na kuifikia serikali ili waweze kupata mikopo na fursa za uwezeshaji. Mkurugenzi wa Chido Point, Maria Mwampanga, ambaye ndiye aliyeandaa siku hiyo ya wasusi, alisema bado kuna uhitaji mkubwa wa kuwaunganisha wasusi, kuwapa elimu ya kifedha na kuwasaidia kufikia taasisi za kifedha kwa ajili ya mikopo na mitaji. Kwa upande wao, baadhi ya wasusi walieleza namna walivyopambana na mitazamo hasi ya jamii kuhusu kazi hiyo, hasa kwa vijana wa kiume, lakini walisisitiza kuwa wamefanikiwa kubadilisha maisha yao kupitia kipaji hicho. Frenk Mwingira, msusi kutoka Dodoma, alisema alianza kazi hiyo akiwa mdogo baada ya kuiona ikifanywa na mama na dada zake. Alikumbana na upinzani mkubwa kutoka kwa watu waliodhani kuwa kazi hiyo haifai kwa wanaume, lakini aliamua kufuata kipaji chake. “Siku hizi watu wameanza kunielewa. Kazi hii imenifanya kuwa msaada mkubwa kwa familia yangu. Wale waliokuwa wananibeza sasa ndio wateja wangu,” alisema. Naye Faustin Kwolesya kutoka mkoa wa Kilimanjaro alisema alianza ususi mwaka 1997, na wakati huo alikuwa akitengwa hata na viongozi wa dini kwa madai kuwa anakaa na wanawake. Hata hivyo, aliamua kupuuza maneno ya watu na kuendelea na kazi hiyo hadi leo, ambayo imemuwezesha kujikimu na kusaidia familia. Uzinduzi wa siku ya wasusi umeelezwa kuwa mwanzo wa harakati za kuitambua rasmi sekta hiyo kama chanzo cha ajira endelevu kwa vijana, huku serikali ikihimizwa kuongeza juhudi za kuwezesha mafunzo ya stadi za maisha kwa wananchi wake.

DILI LA MUKWALA KUUZWA…SIMBA WANAPIGA PESA NDEFUU AISEE….MBADALA WAKE HUYU HAPA…

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja akifunga mabao 13 sawa na aliyomaliza nayo Jonathas Sowah aliyekuwa Singida Black Stars kabla ya kutua Msimbazi kwa ajili ya kikosi cha msimu ujao. Nyota hao wawili kila mmoja pia aliasisti mara nne, lakini timu ikiwa kambini Misri, Ateba aliaga baada ya kupigwa bei Al Shorta ya Iraq kisha akashushwa Seleman Mwalimu ‘Gomes’ kwa mkopo akitokea Wydad Casablanca ya Morocco. Hivi unavyosema taarifa hii ni kwamba mabosi wa klabu hiyo wamempiga bei Mukwala kwa klabu ya Al Ittahad ya Libya na muda wowote taarifa itatolewa rasmi, lakini winga aliyekuwa akielezwa alikuwa atolewe Joshua Mutale akisalimika. Simba ilishapitiliza idadi ya wachezaji 12 wa kigeni kama inavyotakiwa kwa kanuni za usajili wa Ligi Taarifa ni kwamba kabla ya dirisha la usajili kufungwa usiku wa leo, ni kwamba Mukwala amepigwa bei Al Ittihad ya Libya na ilikuwa inasubiriwa tu kutangazwa rasmi. Mukala aliyeasisti pia mabao manne kama ilivyokuwa kwa Ateba, msimu uliopita licha ya kutumika kwa dakika chache, taarifa zilidokeza kuwa hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba msimu ujao 2025/26. Inaelezwa kwamba Simba ilipokea ofa ndefu kutoa Al Ittihad ya Libya ambayo imetuma ofa ya kumnasa mshambuliaji huyo na kuwa sehemu ya kikosi chao msimu huu. Chanzo cha kuaminika kutoka Simba kimesema kuwa Al Ittihad wamefika dau la kumnunua mshambuliaji huyo na dili hilo linatajwa kukamilikajana na uthibitisho utatolewa. “Ni kweli tumefikia makubaliano ya kumuuza Mukwala kwenda Al Ittihad na kuna uwezekano akasajiliwa mchezaji mmoja ambaye atapishana na Mukwala kama kocha alivyosisitiza kuongezwa mchezaji mmoja,”kilisema chanzo hicho na kuongeza; “Tumemuuza Mukwala kwa dau nono sana siwezi kuweka wazi ni kiasi gani lakini pesa hiyo itatusaidia kunasa saini ya mchezaji mwingine yeyote bora kama ambavyo kocha Fadlu amesisitiza kusajiliwa mchezaji mwenye ubora mkubwa.” Mukwala ambaye wakati anatua Simba iliripotiwa amesaini mkataba wa miaka mitatu, tayari ametumikia mwaka mmoja na kuisaidia timu hiyo kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kupoteza mbele ya RS Berkane ya Morocco. “Makubaliano ya pande zote mbili kati yetu sisi Simba na Al Ittihad yanakwenda vizuri nafikiri taarifa ya usahihi zaidi kama dili limekwenda kama lilivyopangwa kesho (leo) itatolewa na kila mwanasimba ataupongeza uongozi kwa biashara nzuri tuliyoifanya.” Hata hivyo taarifa kutoka vyanzo vingine vinadai kuwa Simba watavuna karibu dola za kimarekni milioni moja sawa au zaidi ya Bilioni 2.5 za kitanzania kwa kumuuza nyota huyo anayechezea pia timu ya Taifa ya Uganda. Taarifa zinasema kuwa Simba wameongeza maongezi juu ya kumpata nyota mwingine wa Uganda, John Okello anayechezea klabu ya Vipers ili kuwahi dirisha la usajili kabla halijafungwa leo saa sita usiku. Hivi karibuni kocha, Fadlu alikaririwa akisema kuwa bado wanahitaji angalau mchezaji mmoja mwenye kitu cha ziada (X-Factor) atakayewaongezea kitu hasa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na mbio za ubingwa wa ligi. Hivyo kuuzwa kwa Mukwala kunatoa nafasi kwa Simba kufanya usajili mapema kabla ya dirisha la usajili la ndani halijafungwa. Credit:- MwanaSpoti. The post DILI LA MUKWALA KUUZWA…SIMBA WANAPIGA PESA NDEFUU AISEE….MBADALA WAKE HUYU HAPA… appeared first on Soka La Bongo.

Baba Levo Azindua Rasmi Kampeni Kigoma Mjini Kwa Kishindo!

Nimegandisha mayai yangu kwa sababu sijapata mpenzi

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 10, 2025

USUSI WATAJWA KAMA FURSA YA AJIRA KWA VIJANA

DILI LA MUKWALA KUUZWA…SIMBA WANAPIGA PESA NDEFUU AISEE….MBADALA WAKE HUYU HAPA…

Lastest News

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

NAFASI za Kazi SJUT Tanzania

  • 01 Aug 2025
  • 136
© Image Copyrights Title

NAFASI Za Kazi Barrick Gold Mine

  • 01 Aug 2025
  • 128
© Image Copyrights Title

NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania

  • 01 Aug 2025
  • 124
© Image Copyrights Title

Kamanda wa Polisi Mtwara Afunguka Kuhusu Tukio la Ebitoke

  • 01 Aug 2025
  • 133
© Image Copyrights Title

NAFASI Za Kazi NCBA Bank PLC

  • 31 Jul 2025
  • 193
© Image Copyrights Title

NAFASI Za Kazi Daqing Oilfield Construction Group

  • 31 Jul 2025
  • 126
© Image Copyrights Title

NAFASI Za Kazi BRAC Maendeleo Tanzania

  • 31 Jul 2025
  • 149
© Image Copyrights Title

NAFASI za Kazi DP World

  • 31 Jul 2025
  • 123
Read more News

Burudani

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

USUSI WATAJWA KAMA FURSA YA AJIRA KWA VIJANA

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 22
Read all News
© Image Copyrights Title

USUSI WATAJWA KAMA FURSA YA AJIRA KWA VIJANA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 22
© Image Copyrights Title

GUMZO LA JIJI. KWA SASA NI AMARULA SUNDOWN SESSIONS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 24
© Image Copyrights Title

MSANII BILL NASS ALIVYOWAIMBISHA WANANCHI KONDOA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 35
© Image Copyrights Title

WAZIRI DKT. GWAJIMA AMWAKILISHA SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AKSON KWENYE HAFLA YA MISS UNIVERSE TANZANIA, 2025,

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 51
© Image Copyrights Title

WAZIRI MWITA AWATAKA WANAMITINDO KUIWAKILISHA VEMA NCHI KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 94
© Image Copyrights Title

“KAMA WAO” YAINGIA MTAANI! MUGGA MO NA BANDO MC WAPIGA KAZI SAFI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 185
© Image Copyrights Title

ADONIJAH OWIRIWA ,  MTAYARISHAJI MKUU WA FESTAC ’77, ANASEMA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 71
© Image Copyrights Title

BASATA YA WAJENGEA UELEWA WA MIFUMO KUSOMANA MAAFIA UTAMADUNI NA BIASHARA MARA 

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 68
© Image Copyrights Title

MAJALIWA: SANAA INAMCHANGO MKUBWA KATIKA KUKUZA UCHUMI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 65
© Image Copyrights Title

CDQ HATIMAYE AMEZINDUA VISUALIZER YA WIMBO MAARUFU “SUWE”

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 73

Michezo

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

DILI LA MUKWALA KUUZWA…SIMBA WANAPIGA PESA NDEFUU AISEE….MBADALA WAKE HUYU HAPA…

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 66
Read all News
© Image Copyrights Title

DILI LA MUKWALA KUUZWA…SIMBA WANAPIGA PESA NDEFUU AISEE….MBADALA WAKE HUYU HAPA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 66
© Image Copyrights Title

YANGA WAIPIGA SIMBA BAO ‘ISHU’ YA UWANJA….ISHU NZIMA IKO HIVI….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 49
© Image Copyrights Title

NI ZAIDI YA NOMAA😎👌🔥…YANGA WATIA MEZANI BIL 33 KUIFUNGA SIMBA …

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 48
© Image Copyrights Title

CHUKUA HIYOOOO….YANGA WAIACHA MBALI AL AHLY YA MISRI….UKITAKA KUINUNUA JIPANGE…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 49
© Image Copyrights Title

KISA KIPA NA BEKI MPYA…FADLU AWATEGA MASTAA SIMBA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 58
© Image Copyrights Title

SIMBA MPYA HII HAPA….MO DEWJI AJIWEKA KANDO…TRY AGAIN APIGWA CHINI…MAGORI, BARBARA WAULA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 75
© Image Copyrights Title

TIMES FM KUTANGAZA MUBASHARA KAGAME CUP, KUANZA SEPTEMBA 2

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 40
© Image Copyrights Title

MWISHOOO….AZAM WAGONGELEA MSUMARI KAULI YA SIMBA KWA FEI TOTO….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 36
© Image Copyrights Title

KANUNI MPYA TFF….SIMBA, YANGA KUCHEZESHWA NA REFA KUTOKA NNJE…MAPRO WOTE RUKSA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 34
© Image Copyrights Title

BAADA YA KAMBI YA MISRI KUISHA…FADLU KAKUNA KICHWA WEE…KISHA AKASEMA HAPA BADO…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 32
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook