Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mtu mmoja amefariki, 4 wameokolewa katika ajali ya mgodi Tanzania, katika Dira ya Dunia TV

  • 14
Scroll Down To Discover

Mtu mmoja amefariki, na watu 4 kati ya 25 waliofukiwa na vifusi katika mgodi mdogo wa madini ya dhahabu mkoani Shinyanga nchini Tanzania wameokolewa wakiwa hai. Mgodi huo uliporomoka wakati zoezi la ukarabati wa mashimo lilipokuwa likiendelea. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post  Exim Bank Wafanyakazi Loan: Watumishi wa Umma Wanufaika Kufanya Marejesho kwa Miaka 11
Next Post Waziri Mkuu Akagua Mabasi, Miundombinu Ya Mradi Wa BRT Awamu Ya Pili
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook