Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makonda Achukua Fomu Ya Ubunge Jimbo La Arusha Mjini Kupitia CCM

  • 9
Scroll Down To Discover

Arusha, Jumamosi, 28 Juni 2025 – Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Dar es Salaam, Paul Makonda, ameibuka kwa kishindo leo baada ya kuchukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).



Prev Post Diwani wa Zamani Kata ya Msasani, Neghesti Achukua Fomu Kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni Kupitia CCM’
Next Post Sekretarieti Ya Halmashauri Kuu CCM Yakutana Kufuatilia Mchakato Wa Fomu Za Uteuzi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook