Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kushirikiana na kampuni ya Dalba Consulting Group imetoa wito kwa vijana wa kike wa Kitanzania wenye sifa kujaza nafasi 300 za uuguzi zilizotolewa na Wizara ya Afya nchini Saudia Arabia.

The post Serikali yatangaza nafasi 300 za Ajira kwa wauguzi nchini Saudi Arabia appeared first on SwahiliTimes.










Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!