Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Diwani wa Zamani Kata ya Msasani, Neghesti Achukua Fomu Kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni Kupitia CCM’

  • 9
Scroll Down To Discover

Diwani wa zamani wa Kata ya Msasani, Bw Luca Neghesti (kulia) akipokea fomu kutoka kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM) wa Wilaya ya Kigamboni, Stanley Mkandawile kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigamboni.

Dar es Salaam. Aliyekuwa Diwani wa Msasani na mfanyabiashara maarufu, Bw Luca Hakim Neghesti, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigamboni.

Bw Neghest ni mjasiriamali mwenye mafanikio, mwanzilishi wa taasisi mbalimbali zikiwemo Bongo5 Media na amekuwa na mchango mkubwa katika masuala ya maendeleo katika Kata ya Msasani.

Bw Neghest ambaye ni mume wa Miss Tanzania wa mwaka 2005, Nancy Sumari ambaye aliitoa kimasomaso Tanzania kwa kushinda taji la Miss World Africa pia ana uzoefu mkubwa katika utumishi wa umma pamoja na sekta binafsi.
Mwisho…

 



Prev Post Baadhi Ya Wagombea Waliochukua Fomu Ya Kuwania Ubunge Mkoa Wa Kagera
Next Post Makonda Achukua Fomu Ya Ubunge Jimbo La Arusha Mjini Kupitia CCM
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook