Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Mstaafu Wa Zambia, Edgar Lungu Afariki Dunia

  • 35
Scroll Down To Discover

Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki dunia siku ya Alhamisi akiwa na umri wa miaka 68, akiwa anapatiwa matibabu nchini Afrika Kusini.

Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo kati ya mwaka 2015 na 2021 aliposhindwa kwenye uchaguzi na kiongozi wa upinzani, Hakainde Hichilema.



Prev Post Rais Samia Akishiriki Harambee Ujenzi Wa Kituo Cha Watoto Wenye Mahitaji Maalu KKKT (Picha +Video)
Next Post Mama Ajifungua Watoto 3, Baba Amwaga Machozi Aomba Msaada – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook