
Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki dunia siku ya Alhamisi akiwa na umri wa miaka 68, akiwa anapatiwa matibabu nchini Afrika Kusini.
Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo kati ya mwaka 2015 na 2021 aliposhindwa kwenye uchaguzi na kiongozi wa upinzani, Hakainde Hichilema.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!