Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

WAZIRI PROF. SHEMDOE AWASILISHA RANDAMA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU

  • 27
Scroll Down To Discover

Leo Machi 31, 2026, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewasilisha randama ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2026/27.

Mhe. Prof. Shemdoe amewasilisha randama hiyo yenye mafungu 37 kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye anatarajia kusoma rasmi makadirio hayo kesho tarehe 01 Aprili, 2026 katika kikao cha pili cha mkutano wa tatu wa Bunge la Bajeti, ambapo Wabunge watapata fursa ya kujadili mipango na matumizi ya fedha ya ofisi hiyo.



Prev Post BoT yasitisha uuzaji wa dhahabu kufuatia kushuka kwa bei duniani
Next Post BACCA ATUPA TAULO, AKIRI RUSHINE NI BALAA
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook