Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Akishiriki Mazishi Ya Makamu Wa Kwanza Wa Rais Na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Msuya – (Picha +Video)

  • 39
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yaliyofanyika nyumbani kwake kijijini Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro tarehe13 Mei, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Mai 13, 2025 ameongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yaliyofanyika nyumbani kwake kijijini Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro tarehe13 Mei, 2025.

 



Prev Post Wafuasi wa Mbowe Watoa Onyo kwa G55: ‘Ondokeni Kimyakimya, Acheni Kumzungumzia Lissu
Next Post Polisi Dar Yataja Sababu za Kumkamata Amani Golugwa wa Chadema
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook