Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Wafuasi wa Mbowe Watoa Onyo kwa G55: ‘Ondokeni Kimyakimya, Acheni Kumzungumzia Lissu

  • 31
Scroll Down To Discover

Timu ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakimuunga mkono Freeman Mbowe imetoa wito kwa wanachama wanaokijiita G55, ambao kwa sasa wamekihama chama hicho, kuacha kuendelea kumzungumzia Tundu Lissu. Wamesema kuwa endapo wameamua kuondoka, basi waondoke kimyakimya kama walivyojiunga, badala ya kufanya mikutano na waandishi wa habari huku wakimzungumzia Tundu Lissu, ambaye sasa ni mwenyekiti wao mpya waliyeamua kuungana naye.

 



Prev Post Tanzania Yaimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi kwa Maendeleo ya Kiuchumi
Next Post Rais Samia Akishiriki Mazishi Ya Makamu Wa Kwanza Wa Rais Na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Msuya – (Picha +Video)
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook