
Moshi mweupe waonekana! Kanisa Katoliki limepata Papa mpya baada ya Makadinari 133 kupiga kura katika Kanisa la Sistine ndani ya Vatican. Hivi karibuni, atajitokeza kwenye dirisha kuu la Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro.
Moshi mweupe waonekana! Kanisa Katoliki limepata Papa mpya baada ya Makadinari 133 kupiga kura katika Kanisa la Sistine ndani ya Vatican. Hivi karibuni, atajitokeza kwenye dirisha kuu la Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!