Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 08 May 2025

  • 40
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 08 May 2025

“Kwa mujibu wa sheria za FIFA, Wizara haiwezi kuingilia swala hilo (mechi ya derby). Swala la Ligi linasimamiwa na TFF na Bodi ya Ligi na kanuni haziruhusu serikali kuingilia, FIFA itaifungia Tanzania. Kwahiyo tunaendelea na juhudi mbalimbali.”

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwasilisha Bugeni Jijini Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2025/26 leo tarehe 7 Mei, 2025.



Prev Post CCM Yawakaribisha Wanachadema na G55
Next Post Moshi Mweupe Waonekana: Kanisa Katoliki Lapata Papa Mpya – Live Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook