Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Iran yakanusha madai ya Trump ya kuomba kusitisha mapigano. Katika Dira ya Dunia TV

  • 9
Scroll Down To Discover

Rais Donald Trump anadai kwamba “Rais wa Serikali Mpya ya Iran” ameomba Marekani kusitisha mapigano. Lakini Iran imepuuzilia mbali madai hayo ikisema kwamba ni ya uwongo na yasiyo na msingi. Trump Hakumtaja kiongozi huyo mkuu wa Iran kwa jina, lakini alimuelezea kuwa mtu “asiye na msimamo mkali na mwenye busara zaidi kuliko viongozi waliomtangulia.” Aliongeza kuwa: “Tutazingatia ombi hilo wakati mlango wa bahari wa Hormuz utakapokuwa wazi na huru. Hadi wakati huo, tunaendelea kuishambulia Iran hadi iangamie kabisa!!” mwisho wa nukuu. #iran #DonaldTrump #BBCSwahili #BBCSwahiliLeo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Serikali yatangaza nafasi 300 za Ajira kwa wauguzi nchini Saudi Arabia
Next Post Trump Washirika wa Marekani wajifunze kujipigania. Katika Dira ya Dunia TV
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook