Timu ya Vodacom Tanzania Plc kanda ya Ziwa, wakijiandaa kugawa kapu la Vodacom kwa wateja na wakazi wa Mwanza kwenye viwanja vya soko la samaki kirumba. Tukio hili limefanyika mwishoni mwa wiki kama ishara ya kuendelea kusherehekea msimu huu wa sikukuu pamoja na wateja wao jijini Mwanza.




The post Vodacom Tanzania yagawa makapu ya Sikukuu kwa wateja wa Mwanza appeared first on SwahiliTimes.






Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!