Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mazishi ya Aliyekuwa Msanii wa Filamu, Carina Katika Makaburi ya Kisutu (Picha +Video)

  • 24
Scroll Down To Discover


Mwanadada Hawa Ibrahim almaarufu Carina, amezikwa leo kwenye Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya kufikwa na mauti akiwa anapatiwa matibabu nchini India.

Mastaa na watu mbalimbali wameshiriki kumsindikiza Carina kwenye nyumba yake ya milele, wakiwemo wasanii wenzake, viongozi wa dini na waombolezaji wengine.



Prev Post Wananchi Ludewa Watakiwa Kuwa Mabalozi Katika Uhifadhi wa Misitu
Next Post Jokate Awaongoza Maelfu ya Vijana Kumuunga Mkono Dkt. Samia
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook