Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Jokate Awaongoza Maelfu ya Vijana Kumuunga Mkono Dkt. Samia

  • 21
Scroll Down To Discover

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo akiongoza Matembezi ya Maelfu ya Vijana ambao pia ni Wapiga Kura wapya Wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakiwa njian kuelekea Katika Uzinduzi Maalum wa Program hiyo uliofanyika Katika Ukumbi wa JNICC Jijini Dar Es Salaam

Jokate ameongeza matembezi ya vijana hao leo Aprili 19, 2025 Jijini Dar es Salaam wakielekea katika uzinduzi wa programu Maalum ya vijana kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu ambapo Jumuiya hiyo chini ya Mwenyekiti wake na Katibu Mkuu wameweka mikakati mbalimbali itakayofanikisha ushindi wa Dk.Samia kupitia kundi la vijana wa Tanzania.



Prev Post Mazishi ya Aliyekuwa Msanii wa Filamu, Carina Katika Makaburi ya Kisutu (Picha +Video)
Next Post Meridianbet Yatoa Msaada wa Vifaa vya Usafi kwa Wakazi wa Mbezi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook