Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Jux Uso Kwa Uso Na D’Banj Mjini Lagos, Nigeria.

  • 10
Scroll Down To Discover

The African BOY! @juma_jux Amekutana Na Muimbaji Mkongwe Wa Nigeria @iambangalee Huko Mjini Lagos, Nchini Nigeria Kwa Mara Nyingine Tena Tangu Mwezi Mmoja Upite Wakutane Kwenye Tuzo Za Trace Zanzibar.

Picha Ya Jux Na D’Banj Walivyokutana Huko Lagos, Nigeria Usiku Wa Kuamkia Leo.

Kumbuka Kuwa Jumatano hii @juma_jux alijumuika pamoja na wasanii, waandishi wa nyimbo na watayarishaji kwenye workshop ya Showbiz101 ambayo inaandaliwa na Bridge Africa huko Lagos, Nigeria.

Jux Alikuwa msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kualikwa kwenye workshop hiyo Kubwa inayofanyika kwa siku 5 na alikuwa mmoja wa wazungumzaji

The post Jux Uso Kwa Uso Na D’Banj Mjini Lagos, Nigeria. appeared first on Wasafi Media.



Prev Post Rapa Sexyyred Adai Ndio Rapa Wa Kike Anayechukiwa Zaidi.
Next Post Davido Asaini Msanii Mpya Kwenye Label Yake Ya ‘DMW’.
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook