Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Harmonize akubali kazi ya El Mando

  • 8
Scroll Down To Discover

Kwenye Mahojiano yake na@harmonize_tz @el_mando_tz amemuuliza namna Burna boy alivyomuacha mbali Kimafanikio pamoja na wasanii wote Afrika Mashariki maana alikuwa rafiki yake

Harmonize amejibu swali hilo kwa urefu alielezea mafanikio ya wasanii wana Nigeria kuwa yameanza kujengwa tangu zamani na wasanii wakongwe.

Kuwalinganisha wasanii wa Tanzania na wasanii wa Nigeria ni kuwaonea tu maana wale wapo mbali sana.

Harmonize alimjibu El mando ameeleza kuwa changamoto sio kwa wasanii tu bali zipo kila sehemu hapa Tanzania, Mfano wachekeshaji wetu huwezi kumlinganisha@saidsaid._na wachekeshaji wa Nigeria maana yeye anachekesha Kiswahili.

Mahojiano yote ya @el_mando_tz na@harmonize_tz yapo kwenye ukurasa wetu wa YouTube wa Bongofive.

 

Cameraman @samirkakaa & Abbrah255



Prev Post Harmonize alivyokataa swali la Diamond
Next Post Harmonize amchana El Mando
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook