Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Harmonize alivyokataa swali la Diamond

  • 9
Scroll Down To Discover

Katika Mahojiano yake @harmonize_tz aliulizwa kuhusu kukutana na @diamondplatnumz Zanzibar kwenye

Trace pia kurekodi na kupost magari ya Diamond.

Konde amelipangua swali hilo na kusema hiyo ni Interview yake hataki mtu Mwingine A-Shine.

 

@el_mando_tz kamuuliza baada ya kufika kwenye Show ya Burna boy Nairobi Kenya hakutumbuiza kwa sababu hakufanya Sound Check, kitu gani amejifunza kwenye Tukio la yeye kukatazwa kupanda Jukwaani??

Mahojaino yote yapo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

 

 

 

Cameraman & Editor @samirkakaa & Abbrah255



Prev Post Harmonize: Sina mpango na Collabo na Alikiba
Next Post Harmonize akubali kazi ya El Mando
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook