Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Harmonize: Sina mpango na Collabo na Alikiba

  • 27
Scroll Down To Discover

Kwenye Mahojiano na @el_mando_tz @harmonize_tz amejibu kuhusu kufanya Collabo na @officialalikiba ambapo ilitajwa sana miezi kadhaa nyuma.

Harmonize anasema hana Collabo yoyote na Alikiba na hajaongea naye chochote kuhusu kufanya naye kazi, kama wataongea basi wataweka wazi.

Kuhusu Clip ya Kumvalisha Alikiba Cheni yake na Alikiba kuilimbia, Harmonize anasema Alikiba alitania sio kwamba alikataa bali aliongea kama utani kwamba Inabeba Nyota.

Mahojiano yote ya @el_mando_tz na @harmonize_tz yapo kwenye ukurasa wetu wa YouTube wa Bongofive.

 

 

 

Cameraman @samirkakaa



Prev Post Waziri Mkuu Kuongoza Harambee Ya Mei Mosi Kitaifa
Next Post Harmonize alivyokataa swali la Diamond
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook