Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Harmonize anaisaka Grammy atua kwa aliyeaminiwa na Jay Z

  • 10
Scroll Down To Discover

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia Collabo ijayo ya Harmonize na msanii wa Marekani Miri Ben-Ari.

Anasema Collabo hiyo itakuwa na Impact kubwa sana kwenye muziki wa Harmonize kupitia tu kwa mwana dada Miri Ben-Ari

Anasema Miri Ben-Ari licha ya kufanya kazi na Diamond pia alishawahi kufanya kazi na Jay Z, Kanye West, Nas, Daddy Yankee na wengine.

Kwa namna hii anasema Harmonize anaisaka Tuzo ya GRAMMY kimya kimya na atakuja kuwashangaza wengi.

Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Cameraman & Editor @samirkakaa

 



Prev Post Jux amefanya makubwa kuliko Harmonize
Next Post RECAP: Mac Voice bado ni Msanii wa Rayvanny?? – El Mando
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook