Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Jux amefanya makubwa kuliko Harmonize

  • 7
Scroll Down To Discover

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amemzungumzia msanii Juma Jux namna watu wanavyom-Underret Tanzania.

Anasema mfano mdogo tu ukiangalia vitu anavyovifanya Nigeria Bongo havizungumzwi kama angefanya msanii mwingine wa hapa hapa Tanzania.

Anasema kwa namna alivyofanya muziki mkubwa 2023, 2024 na 2025 anadiriki kusema JUX NI UNDERRATED TANZANIA, hapewi heshima anayostahili kama wanavyopewa wasanii wengine.

Ametaja majukwaa aliyopanda, Tuzo alizoshinda na namna anavyopata Numbers kwenye Digital Platfom, angalia Matukio anayofanya Nigeria ila watu wapo Kimyaaa.

Kwa upande wako unampa asilimia ngapi @el_mando_tz

Uchambuzi mzima Upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Cameraman & Editor @samirkakaa



Prev Post Mr Blue kajipata mbwembwe kila kona
Next Post Harmonize anaisaka Grammy atua kwa aliyeaminiwa na Jay Z
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook