Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

RECAP: Mac Voice bado ni Msanii wa Rayvanny?? – El Mando

  • 7
Scroll Down To Discover

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia msanii Mac Voice kuonekana akipiga Show za Chaka Tu Chaka.

Anasema sio jambo baya msanii kufanya hizo Shows maana atapata wapi hela bila kujituma Mikoani??

Kinachowafanya watu walalamike ni kwa sababu Standard aliyoi-set Rayvanny ndio maana wengi wanaona sio level zake.

Anasema Sio Mac Voice tu bali lebo nyingi sana hapa nchini Wasanii wao wanapitia katika hali mbaya sana ya Kiuchumi na pia hawana amani ya Kikazi.

Yote ni kwa sababu lebo hazikuzianzishwa kusaidia vijana na kufanya biashara bali zilianzishwa kushindana na WCB au Diamond.

Kadri siku zinavyoenda maji na mafuta yameanza kujitenga maana wasanii hawawekezi kwenye lebo zao, wengi wao wamefungua lebo kwa sababu ya sifa tu bila kujua wanaua vipaji vya vijana wengi.

Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

 

 

 

 

 

 

Cameraman & Editor @samirkakaa



Prev Post Harmonize anaisaka Grammy atua kwa aliyeaminiwa na Jay Z
Next Post Siri zafichuka sakata la Rayvanny na Mac voice
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook