Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Diamond hampendi Zuchu?analinda biashara yake

  • 8
Scroll Down To Discover

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amefafanua kwa undani kuhusu sakata la Zuchu na mpenzi wake Diamond.

Anasema ukweli ni kwamba Diamond inaonyesha kuwa naye kwenye mahusiano sio kwamba ni mwanamke aliyempenda bali aliamua kuingia naye kwenye mahusiano kwa lengo la kulinda biashara yake.

Diamond anajua kabisa ile ni biashara yake tena biashara kubwa hayupo tayari kuipoteza kiurahisi kwahiyo anajua kabisa nini anachofanya.

Uchambuzi wote upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

Cameraman & Editor @samirkakaa



Prev Post Mr Blue na Lady Jaydee wametoa somo la Hip Pop
Next Post Mapungufu ya wimbo wa Harmonize Finally
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook