

Akizungumza mara baada ya kumkabidhi kitambulisho hicho Wakili Kipangula amempongeza Michuzi na Waandishi wengine waliokwishakupokea vitambulisho vyao baada ya kukidhi vigezo huku akitoa wito kwa Waandishi ambao bado hawajapata vitambulisho vyao kuingia katika mfumo kuhakiki viambatisho walivyoweka kama vipo na vinafunguka kabla ya kupiga simu Bodi kuulizia hali ya maombi yao.

Amesema maombi mengi yana mapungufu ya viambatisho hivyo kutosoma, kuonekana kiambatisho kimoja, kujirudia kwa kiambatisho kimoja, kuweka vyeti visivyotambulika kisheria na wengine barua za utambulisho kutoambatishwa.

Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!