Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Maadhimisho Ya Miaka 20 Ya MUM

  • 12
Scroll Down To Discover

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 20, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro(MUM), kwenye viwanja vya chuo hicho mkoani Morogoro.

Maadhimisho hayo ni jukwaa la kutathmini historia, changamoto, mafanikio yaliyopatikana na mchango wa chuo hicho katika maendeleo ya Taifa.

Pia, Maadhimisho hayo yamelenga kuakisi changamoto na maendeleo ya chuo hicho katika kipindi cha  miaka 20 ya kutoa maarifa, nidhamu, na malezi bora ya vijana wa Kitanzania.



Prev Post Maelfu Wanufaika na Upasuaji wa Mifupa na Ubongo MOI Katika Kipindi cha Februari–Mei 2025
Next Post Ushirikiano Wa China Na Tanzania Kuongeza Ajira Nchini
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook