Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Kilele Maadhimisho Ya Miaka 50 Ya TET

  • 30
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yanayofanyika katika viwanja vya Taasisi hiyo, Bamaga Jijini Dar es Salaam.

kaulimbiu ya maadhimisho ni Kitabu Kimoja Mwanafunzi Mmoja, Mpe Kitabu Gusa Ndoto.Kaulimbiu hiyo inaunga mkono juhudi za serikali za kuchapa na kusambaza vitabu kwa lengo la kufikia uwiano wa Kitabu kimoja Mwanafunzi mmoja.

 



Prev Post Kamanda wa Polisi Dodoma Ahamishiwa Makao Makuu ya Upelelezi
Next Post Gachagua Aonya Vijana Kuhusu Maandamano ya Kumbukumbu Juni 25
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook