
Tukio lisilo la kawaida limetokea jijini Arusha na kusababisha taharuki baada ya mtu ambaye bado hajafahamika, kumshambulia kichwani kwa jiwe Afisa Tarafa wa Sokoni One, aliyekuwa anawatuliza wananchi waliokuwa wakitaka kuandamana.
Tukio lisilo la kawaida limetokea jijini Arusha na kusababisha taharuki baada ya mtu ambaye bado hajafahamika, kumshambulia kichwani kwa jiwe Afisa Tarafa wa Sokoni One, aliyekuwa anawatuliza wananchi waliokuwa wakitaka kuandamana.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!