Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Masaju Ateuliwa Jaji Mkuu Kumrithi Profesa Ibrahim – Video

  • 34
Scroll Down To Discover

George Masaju

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania.

Jaji Masaju anachukua nafasi ya Prof. Ibrahim Juma ambaye amestaafu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk. Moses Kusiluka, uapisho wake utafanyika Juni 15, 2025 Ikulu, Chamwino, Dodoma kuanzia saa 4:00 asubuhi.



Prev Post SMZ imeweka mkazo kuifungua Pemba kiuchumi
Next Post Mbeto asema kumzuia raia yoyote asipige kura ni kosa la jinai
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook