
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.
Ameyasema hayo leo kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 19, Kikao cha 45.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!