
Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini ametangaza rasmi kufutwa kwa usajili wa Glory of Christ Tanzania Church, Kanisa la Ufufuo na Uzima kuanzia tarehe 02 Juni 2025. Hatua hii imechukuliwa chini ya vifungu vya Sheria ya Jumuiya Sura ya 337, kama ilivyorekebishwa na Sheria ya Marekebisho Mbalimbali ya Sheria Na. 3 ya mwaka 2019.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!