Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mbunge Shigongo Apongezwa kwa Ubunifu wa Madarasa Janja Kupitia TEHAMA

  • 3
Scroll Down To Discover

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo

Serikali kupitia kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainab Katimba imempongeza Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo kwa kuanzisha madarasa janja (smart classes) ili kukabiliana na uhaba wa walimu katika jimbo hilo.

Katimba ameyasema hayo wakati akijibu swali la Shigongo bungeni jijini Dodoma aliyetaka kujua mpango wa serikali kupeleka walimu wa masomo ya sayansi katika jimbo hilo.

Kupitia madarasa janja, mwalimu aliyepo kituo kimoja anaweza kufundisha kwenye madarasa mengi yaliyopo sehemu tofauti kwa kutumia mifumo ya TEHAMA.



Prev Post KISA AZIZ KI KUSEPA YANGA …HUKO SIMBA WATU NI TABASAMU MPAKA JINO LA MWISHO😅….
Next Post Uturuki Waanza Mchakato Wa Kuandika Katiba Mpya, Wataalamu Wa Sheria Kuanza Mchakato
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook