Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Awasili Kilimanjaro Kushiriki Mazishi ya Hayati Cleopa Msuya

  • 51
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yatakayofanyika Kesho Kijijini kwake Wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro, tarehe 13 Mei, 2025.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. Samia Suluhu Hassan amewawasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yatakayofanyika Kesho Kijijini kwake Wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro, tarehe 13 Mei, 2025.



Prev Post Jinsi Nilivyomfanya Mke Wangu Mkristo Akubali Ndoa ya Wake Wawili
Next Post Vodacom Yashiriki Uzinduzi wa Wiki ya Ubunifu, Vijana Wapata Fursa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook