Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

  • 45
Scroll Down To Discover

Breaking: Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hillary amefariki dunia alfajiri ya leo, Mei 11, 2025.

Taarifa za kifo chake zimetolewa na Shirika la Habari Zanzibar, ZBC.

Taarifa zaidi zitakujia



Prev Post Prof. Kabudi: Marekebisho Ya Viwanja Yakamilike Haraka
Next Post Stanbic Bank Yaanzisha Kampeni ya Salary Switch Kuwazawadia Wateja Fedha Taslimu Na Manufaa Maalum
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook