Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makamu wa Rais Mpango Ashiriki Misa Takatifu ya Dominika ya Pili ya Pasaka Nchini Italia

  • 36
Scroll Down To Discover

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameshiriki Misa Takatifu ya Dominika ya Pili ya Pasaka katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Rita wa Kashia, lililopo katika Mji wa Cascia nchini Italia leo tarehe 27 Aprili 2025.

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akisali mbele ya Kaburi la Mtakatifu Rita wa Kashia kabla ya kushiriki Misa Takatifu ya Dominika ya Pili ya Pasaka katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Rita wa Kashia, lililopo katika Mji wa Cascia nchini Italia leo tarehe 27 Aprili 2025.



Prev Post Mtoto wa Masogange Ahitimu Kidato cha Sita, Wolper Aungana na Familia Katika Mahafali – Video
Next Post TAZAMA HAPA 🛑LIVE 🎞️🎥: STELLENBOSCH vs SIMBA 🔴 🔴 🔴
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook