Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mtoto wa Masogange Ahitimu Kidato cha Sita, Wolper Aungana na Familia Katika Mahafali – Video

  • 29
Scroll Down To Discover

Unamkumbuka mwanadada Agnes Masogange aliyetangulia mbele za haki? Huyu hapa ni mwanaye ambaye amehitimu kidato cha sita.

Global TV imefika kwenye mahafali yake ambapo mwanadada Wolper aliyekuwa rafiki wa karibu wa marehemu, alifika kujumuika na mtoto huyo.

Binti huyo amehitimu katika Shule ya Sekondari ya Patric Mission iliyopo Mivumoni, Madale jijini Dar es Salaam, ambapo mkurugenzi wa shule hiyo Ndele Mwaselela ndiye aliyemsimamia tangu mama yake alipofariki dunia.



Prev Post Makamu wa Rais Dkt. Mpango Asema Njia Bora ya Kumuenzi Baba Mtakatifu Francisko ni Kudumisha Amani na Kujali Masikini
Next Post Makamu wa Rais Mpango Ashiriki Misa Takatifu ya Dominika ya Pili ya Pasaka Nchini Italia
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook