Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Majaliwa Azungumza Na Wananchi Wa Ukerewe Katika Maadhimisho Ya Miaka 61 Ya Muungano

  • 18
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza wakati alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Getrude Mongela. Mheshimiwa Majaliwa amefanya ziara ya siku moja wilayani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano.



Prev Post Rais Dkt Samia Ahutubia Taifa Kuelekea Miaka 61 Ya Muungano – Video
Next Post Camerlengo Farrell Aongoza Ibada Ya Kufunika Mwili Wa Papa Francisko, Kuzikwa Leo -Live Update Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook