Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Camerlengo Farrell Aongoza Ibada Ya Kufunika Mwili Wa Papa Francisko, Kuzikwa Leo -Live Update Video

  • 25
Scroll Down To Discover


Aprili 25, 2025 Camerlengo, Kardinali Kevin Joseph Farrell, Askofu Mkuu Diego Ravelli ameongoza Ibada ya kufunika mwili wa Baba Mtakatifu Francisko na mwisho alisoma hati ambayo iliwekwa kwenye jeneza.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka idhaa ya kiswahili ya Radio Vatican, Misa ya Mazishi itaanza saa 5:00 kwa saa za Tanzania leo Aprili 26, 2025, katika Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican.



Prev Post Majaliwa Azungumza Na Wananchi Wa Ukerewe Katika Maadhimisho Ya Miaka 61 Ya Muungano
Next Post Serikali Ya Tanzania Yaondoa Zuio La Biashara Ya Mazao Na Malawi Pamoja Na Afrika Kusini
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook