Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

”Prof Mkumbo na Mimi Tulifukuzwa CHADEMA” – Baba Levo – Video

  • 22
Scroll Down To Discover


Msikilize Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Chipando almaarufu Baba Levo alivyowavunja mbavu wabunge wakati akisimulia jinsi yeye na Waziri Kitila Mkumbo walivyofukuzwa Chadema.

Baba Levo pia amelizungumzia suala la vijana kuwezeshwa mitaji ili wajiajiri kwa masharti nafuu, tofauti na ilivyo sasa ambapo masharti ya kupata mikopo kwa vijana ni magumu

 

The post ”Prof Mkumbo na Mimi Tulifukuzwa CHADEMA” – Baba Levo – Video appeared first on Global Publishers.



Prev Post Mazungumzo ya Iran na Marekani yatafaulu? Katika Dira ya Dunia TV
Next Post Watanzania Watakiwa Kushiriki Kudhibiti Silaha – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook