Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mazungumzo ya Iran na Marekani yatafaulu? Katika Dira ya Dunia TV

  • 38
Scroll Down To Discover

Rais wa Iran ameamrisha kuanza tena kwa mazungumzo ya nyuklia na Marekani, akiongeza kuwa mazungumzo hayo yanahitaji mazingira yasiyo na vitisho na matarajio yasiyo na msingi. Haya yanajiri saa chache baada ya rais Trump kusema kuwa alikuwa na matumaini ya makubaliano yatakayozuia makabiliano ya kijeshi. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post MSIMU WA KIMATAIFA WATUTUPA, AHMED ALLY
Next Post ”Prof Mkumbo na Mimi Tulifukuzwa CHADEMA” – Baba Levo – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook