

Wananchi wa Mtaa wa Migungani Kata ya Sokone One jijini Arusha wamefunga barabara ya kuelekea Mnara wa Voda Sombetini baada ya watu 2 kugongwa ndani ya nusu saa na kusababisha wafunge barabara kwa mawe wakitaka kuwekewa matuta.
The post Kimenuka Arusha, Wananchi Wafunga Barabara – Video appeared first on Global Publishers.






Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!