Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mustakabali wa Venezuela baada ya rais wa mpito kuapishwa Katika Dira ya Dunia TV

  • 30
Scroll Down To Discover

Nchini Venezuela, maelfu ya wafuasi wa Nicolas Maduro walikusanyika katika mji mkuu wa Caracas, wakitaka arejeshwe pamoja na mke wake. Washirika wa Venezuela, Urusi na China, walikosoa operesheni ya kijeshi ya Marekani wakati wa kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. #Trump #Venezuela #Maduro #BBCSwahiliLeo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Yatangaza Ukaguzi Maalumu Nchini
Next Post Dkt. Mwigulu Azungumza Na Machinga, Madereva Pikipiki Na Bajaji
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook