

WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo atakagua uharibifu uliosababishwa na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025 mkoani Arusha.
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amepokelewa na viongozi wa Serikali pamoja na Chama

The post Dkt. Mwigulu Awasili KIA Kukagua Madhara ya Vurugu za Arusha appeared first on Global Publishers.






Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!