Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

BoT yauza dola milioni 20 katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni

  • 54
Scroll Down To Discover

Benki Kuu imeuza Dola za Marekani milioni 20.00 kupitia mnada wa ushindani kwa kiwango cha wastani cha kubadilisha fedha za kigeni cha Shillingi 2,447.55 kwa Dola moja ya Marekani. Lengo la mnada huu lilikuwa ni kuongeza ukwasi katika soko la fedha za kigeni.”

The post BoT yauza dola milioni 20 katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni appeared first on Global Publishers.



Prev Post Dkt. Migiro Aongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Next Post Dkt. Mwigulu Awataka Wakuu wa Mikoa Kuimarisha Utekelezaji wa Majukumu Nchini
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook