Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

D Voice Akutana Na Hitmaker Wa ‘Ginger’ L.A.X Nigeria.

  • 38
Scroll Down To Discover

Msanii Kutoka Label Ya #WcbWasafi @itsdvoice Ameianza Safari Yake Ya Kutaka Kuipeleka Singeli Kimataifa, Kwani Amekutana Na Muimbaji Wa Nigeria @izzlax 🇳🇬 Ambaye Ni Hitmaker Wa ‘Ginger’, ‘Sempe’ Na Zingine Kibao.

Dvoice Ame-Share Video Hii Ikiwaonesha Walivyokutana Huko Mjini Lagos, Nchini Nigeria Hivi Karibuni. Hii Ni Hatua Kubwa Kwa D Voice Akiendelea Kutanua Wigo Wake Katika Soko La Muziki Wa Kimataifa.

Hivyo Tegemea Kolabo Kutoka Kwa D Voice Na Mkali Huyu Wa Afrobeat ‘L.A.X’ Muda Wowote Kuanzia Hivi Sasa.

The post D Voice Akutana Na Hitmaker Wa ‘Ginger’ L.A.X Nigeria. appeared first on Wasafi Media.



Prev Post Mchakato wa Kumchagua Papa Mpya Waanza Vatican, Adaiwa Kutoka Afrika au Asia
Next Post Wimbo Wa Jux Na Diamond ‘ololufe Mi’ Ndani Ya Top 3 Itunes Nigeria
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook