Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Dkt Samia Azindua Toleo La Sheria Zilizofanyiwa Urekebu La Mwaka 2023 – Video

  • 8
Scroll Down To Discover

Rais Dkt. Samia akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali mara baada ya toleo la Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu la mwaka 2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizinduza Toleo la Sheria Zilizofanyiwa Urekebu la Mwaka 2023 Ikulu Chamwino-Dodoma, leo tarehe 23 April, 2025.

Rais Dkt. Samia akisaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma pamoja na Mwakilishi wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Joseph Kizito Mhagama na Viongozi mbalimbali mara baada ya kukabidhiwa nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria kwa ajili ya kumbukumbu, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.



Prev Post Picha: Rais Mwinyi Apongezwa Na Zenji One Ikulu
Next Post Jisajili, Weka Amana Na Cheza – Shinda Samsung A25 Mpya Kabisa!
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook