

Hali ya Daraja la Somanga- Mtama wilayani Kilwa mkoani Lindi likitengenezwa baada ya daraja hilo kukatika jana majira ya asubuhi Aprili 16, 2025 na kulazimika usafiri kusitisha kwa muda kwa wasafiri wanaotoka na kwenda Mikoa ya Kusini pamoja na Dar es Salaam.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!