Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Maskini Carina! Aongea Kwa Uchungu ”Nina Kidonda Kibichi Tumboni Kinauma” – Video

  • 9
Scroll Down To Discover

Mwanadada Caroline Hawa almaarufu carina kutoka tasnia ya filamu nchini, yupo India alikoenda kwa ajili ya matibabu ya tumbo lililomtesa kwa miaka mingi.

Akiwa huko, amezungumza na mwandishi wa habari kutoka Global TV, Imelda Mtema na kuelezea kuwa bado hali yake haiko sawa anakidonda kibichi hivyo watanzania waendelee kumuombea zaidi.

Mahojiano kamili yapo Youtube, Global TV!



Prev Post LHRC Yaitaka Polisi Kumwachia Tundu Lissu na Kuheshimu Haki za Kikatiba
Next Post Puma Energy Yazindua Awamu ya Pili ya Kampeni ya Usalama Barabarani kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook