Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

RECAP: Harmonize amembeba Abby Chams kwenye ME TOO?? – El Mando

  • 7
Scroll Down To Discover

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia ngoma ya ME TOO ya Abby Chams inavyotikisa London.

Anasema kwa namna mikakati ya Harmonize na Abby Chams ilivyo basi mwaka huu watasumbua sana na huenda ndio itakuwa mara yao ya kwanza kuingia hata kwenye tuzo za GRAMMY.

Ukiachilia mbali ME TOO Harmonize ametangaza collabo na Miri Ben Aree ambayo inatoka Ijumaa na hiyo ni Ngoma ya Kimataifa.

Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube ya Bongofive.

 

Cameraman &Editor @samirkakaa



Prev Post RECAP: Harmonize & Abby Chams ni mwaka wa kuingia Grammy – El Mando
Next Post Mc Mtamah aingia mtegoni sakata la kucheza juu ya viti
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook