Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

DIB YAENDELEA KUELIMISHA UMMA KUHUSU MAJUKUMU YAKE KATIKA MAONESHO YA SABASABA

  • 22
Scroll Down To Discover

Pamoja na kuzungumza na wananchi wanaotembelea banda la Bodi ya Bima ya Amana (DIB) katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea, Meneja Uendeshaji wa DIB, Bw. Nkanwa Magina, alipata fursa ya kuzungumza na vyombo vya habari kwa lengo la kuuhabarisha umma mkubwa zaidi majukumu ya DIB.

Mwananchi aliyetembelea banda la Bodi ya Bima ya Amana (DIB), akioneshwa kauli mbiu ya DIB inayosema Tunakinga Amana Yako katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.

 Afisa Mwandamizi wa DIB, Bw. Silvan Makole, akisisitiza jambo katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.



Prev Post JKT Yahimiza Watanzania Kununua Bidhaa Za Ndani Kwa Maendeleo Ya Taifa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook